Sikumbuki ni mwaka gani lakini niliwahi kumshudia huyu bwana akibebwa kwenye bar moja ipo maeneo ya bunju a shule upande wa kushoto km unatokea tegeta, akiwa chakariii baada ya hapo sikumskia akiigiza tena,bar yenyewe inaitwa kibila ntarudi soon kuwaonyesha photors maana nilikuwepo na mimi siku hiyo!