Mara ya mwisho nilpokutana kabla ajaanza kuumwa,alinialika mahali,nlposikia anaumwa nimejaribu kumfatilia sana kupitia hao hao kina mpok,masanja kwenye akaunt zao za fb lakn awakujibu ki2.Jamaa nilsoma nae ktambo hcho.Tunaitaj kujua habar zake tufahamishane