Masikini raisi kikwete

Masikini raisi kikwete

Joined
Oct 16, 2013
Posts
58
Reaction score
39
Hotuba ya raisi iliyoandaliwa na wasomi wote wa ccm kwa ufanisi mkubwa sana na mbaya zaidi hotuba iliandaliwa kwa miezi kadhaa ili kumzima warioba na tume yake cha ajabu kafulila ameweza kuijibu kwa dakika 30,hii ni hatari kweli ni heri kafulila angekuwa raisi na siyo kikwete,tuweke itikadi pembeni taifa kwanza,mpe neno kafulila.
 
Hotuba ya raisi iliyoandaliwa na wasomi wote wa ccm kwa ufanisi mkubwa sana na mbaya zaidi hotuba iliandaliwa kwa miezi kadhaa ili kumzima warioba na tume yake cha ajabu kafulila ameweza kuijibu kwa dakika 30,hii ni hatari kweli ni heri kafulila angekuwa raisi na siyo kikwete,tuweke itikadi pembeni taifa kwanza,mpe neno kafulila.

Ngoja waje ambao CCM ni mama na baba yao wakupe majibu ya hovyo!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amechaguliwa kuwa Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo Barani Afrika kwa mwaka 2013 .

Heshima hiyo kwa Rais Kikwete imetolewa na jarida maarufu la kimataifa la African Leadership Magazine Group.


Tuzo hiyo ya heshima kubwa hutolewa kwa viongozi wa Afrika ambao hutoa mchango mkubwa zaidi wa kiuchumi na kijamii kila mwaka kwa watu wao na limetolewa kwa Rais Kikwete kwa mwelekeo wake usiokuwa wa kawaida na wenye mafanikio makubwa kwa masuala ya utawala bora.

Tuzo la heshima hiyo itatolewa jioni ya leo, Jumatano, Aprili 9, 2014,
 
Hiyo tuzo nadhani iliamuliwa apewe yeye kabla ya ule utumbo alioutoa wakati wa ufunguzi wa BUNGE la katiba. Otherwise asingeipata kama ingetolewa baada ya ule utumbo alioutoa pale bungeni.
 
Back
Top Bottom