tunauza mashuka jumla na reja reja ya cotton ambayo yametengenezwa hapa hapa Tanzania.
kwenye mfuko mmoja kunakaa mashuka mawili na foronya 4, ukubwa wa mashuka ni inch 90 kwa 100 ambayo ni approximately kama futi 7 na nusu kwa 8 na nusu, mashuka haya yanaweza kutandika hadi kitanda cha futi 6 kwa 7.
kwa box 1 bei ni 464,000 ambayo ni sawa na 29,000 kwa kila mfuko wa shuka.
bei ya jumla ya kawaida ni 30,000 kwa kila mfuko wa shuka
bei ya reja reja ni 35,000 kwa kila mfuko wa shuka.
hizi ni baadhi ya picha za mashuka
mawasiliano 0715696962
kwenye mfuko mmoja kunakaa mashuka mawili na foronya 4, ukubwa wa mashuka ni inch 90 kwa 100 ambayo ni approximately kama futi 7 na nusu kwa 8 na nusu, mashuka haya yanaweza kutandika hadi kitanda cha futi 6 kwa 7.
kwa box 1 bei ni 464,000 ambayo ni sawa na 29,000 kwa kila mfuko wa shuka.
bei ya jumla ya kawaida ni 30,000 kwa kila mfuko wa shuka
bei ya reja reja ni 35,000 kwa kila mfuko wa shuka.
hizi ni baadhi ya picha za mashuka
mawasiliano 0715696962