King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Hahahah. Msome kongosho hapo. Unajitemea chapchap kabla haijakula kwako.
aisee, mie mpaka leo nikikutana na zeruzeru natamani kujitemea mate. I feel so ashamed ila kiukweli naogopa zeruzeru hadi leo. Mungu anisamehe, nalipa kwa kutoa sadwaka nikimkuta zeruzeru anauza kitu hata nisichohitaji nampa tu hela. Makes me feel better na unyanyapaa wangu!
hii kitu imeniathiri hadi leo aisee. Dah, im serious!
Anatakiwa ajitemee kwa ndani ya shati kabla hajalibadilisha shati alilolivaa wakati wa tukio.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
aisee, mie mpaka leo nikikutana na zeruzeru natamani kujitemea mate. I feel so ashamed ila kiukweli naogopa zeruzeru hadi leo. Mungu anisamehe, nalipa kwa kutoa sadwaka nikimkuta zeruzeru anauza kitu hata nisichohitaji nampa tu hela. Makes me feel better na unyanyapaa wangu!
hii kitu imeniathiri hadi leo aisee. Dah, im serious!
ajitemee mara tatu mfululizo
Last edited by a moderator: