Kwa NSSF kuna riba ya 1.8% kwa mwaka ambayo unatakiwa ulipe
Kwanza hawatangazi hiyo riba mimi nilipata baada ya kuwafatilia kwa karibu lakini watu wengi hawajui kama wanapaswa kulipwa hiyo riba
Kama wanachama wengi hawalipwi hiyo pesa inaenda wapi
Hiyo riba ni ndoigo kulinganisha na riba za kibenki kama wanawekeza pesa yako na hawakupi hisa kwanini watoe riba ndogo namna hiyo
shirikisho la wafanyakazi pamoja na kuwa na mwakilishi kwenye bodi za mifuko hifadhi ya jamii lakini hawajahi kutoa tamko llolote badala yake wamekuwa weakipiga kelele za kuongezwa mishahara bila ya kulinda maslahi ya wafanyakazi
unapoenda kuchukua pesa yako hawakupi kwa wakati,jeuri njoo kesho nyingi na kumbukumbu zao hazipo sahihi