Ni wakati sasa Mashirika ya hifadhi ya jamii kutoa mikopo kwa wanachama wao

kibori nangai

JF-Expert Member
Jan 14, 2015
1,066
1,315
Wanajamii Forum,

Naomba niwape Salam zanguu wote bila ya kujali ya Rangi ,Kabila na dini. Na baada ya Salamu nisiwachoche maana najua shughuli Mingi mwisho wa wiki kujiandaa kwa mapambano ya wiki nyingine.

Leo nina hoja, kwa hapa nchini mwetu kwa sasa tuna mifuko miwili ya Hifadhi ya jamii (NSSF,PSSSF). Na hii mifuko inafedha nyingi sana. Ambayo imekuwa ikichagwa na wanachana wake kulingana na sekta ya ajira wanayohudumu. Mimi nashaurii ni wakati muhafaka sasa hii Mifuko itoe Mikopo kwa wanachana wao kulingana na michango ya wanachama wao.

Na hii inawezekana kabisa. Kwa sababu unakuta wanachana umechangia miaka 20 ana ukwasi wa kutosha Pesa imekaa tuuu bila kumfaidisha yeye mwenyewe zikisubiri hadi astaafu. Na kustaafu kwenyewe Siku izi ni ishu. And if not mikopo ya fedha hata vitendea kazi kulingana ma sekta.

Nafahamu ni product setup mpya kwao lkn inawezekana na ikawasaidia wanachana wao na ikaongeza ari ya wanachama kuwasisitiza Waajiri wao kupeleka mchango yako kwa haraka zaidi.

Namna ya kuweka huduma ya Mikopo

  • Kuweka kwamba lazima uchangie mda flani w Ajira yakoo.
  • Wanaongea na waajiri wakatwe kupitia mishahara yao na hii itawapa wanachama wa sekta binafsi uwezo wa kukopa kama watumishi Serikalini. Na hawawezi kukimbia kwani mwajiri akibadilika automatically mkato nayo yanahama.
  • Mikopo ilingane na kasi ambacho mwanachama amechangia.

Wanajamvi karibuni michango. Najua watu wa hayo mshirika wapo humu. Najua walipo kwenye sekta hii wapo
Hata Serikali wapo pia ambao ndio watunga sera. Mimi sio mwaandishi mzuri, sije akatokea mtuu akanipigamadongo oo mwandiko mwenyewe kama nini sijui.

Nawashukuruni sanaa, Karibu kwa michango.
 
Mimi naona suala hili lianze na vyama vya wafanyakazi.

Hivi vyama vinakata pesa nyingi sana za watumishi na hakuna kitu wanafanya .

Vimekuwa vya kinyonyaji mnooooo.
 
Maana waliowengi wana fedha huko.
Na itawasaidia kujua usalama wa fedha zao
 
Watoe mikopo afu waje wakate kwenye pension au sio?
Wao mwenyewe wanaweza kuchagua either wakate kwenye pension au wangie mkataba na waajiri ukikopa amari wanasubmit makato na rejesho linarudisjhwa pia

Au wangie mkataba na mabenk mojawapoa wawagaranteee wateja wao
And hao wanufaika wakope and wakate kwenye mishaara yao.

Wao wanaweza.kuchangua

Wakinitaka niwasaidie kutengeneza product setup niko tayari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wao mwenyewe wanaweza kuchagua either wakate kwenye pension au wangie mkataba na waajiri ukikopa amari wanasubmit makato na rejesho linarudisjhwa pia

Au wangie mkataba na mabenk mojawapoa wawagaranteee wateja wao
And hao wanufaika wakope and wakate kwenye mishaara yao.

Wao wanaweza.kuchangua

Wakinitaka niwasaidie kutengeneza product setup niko tayari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umesema vyema bwashee ila umesahau hizo mifuko za hifadhi hazikuanzishwa kwa lengo la kibiashara and Loan is business.Ukijua lengo kuu lakuanzisha haya majambo hutasuggest tena.
 
Umesema vyema bwashee ila umesahau hizo mifuko za hifadhi hazikuanzishwa kwa lengo la kibiashara and Loan is business.Ukijua lengo kuu lakuanzisha haya majambo hutasuggest tena.
Ni kweli mkuuu
Lkn nikupitishe kidogo .

Imeanzishwa kwa mujibu wa sharia kukusanya Mafao na wanawajibika Kubuni fursa za kiuchumi ili.kukuza mifuko na fedha za wanachama wake
Na ukiangalia ndio maana wameanzisha mijengo mirefuu huko mijini zote hizo ni njia ya kutuma fedha za wanacham

Ndio maana

Kuna mafao kadha wakadhaa.
Nayo hiyo yaweza kuongezwa kama FAO.

Nikukumbushe
Hayo mafao yanayotolea hutolewa law vigezo endapo mwanachama atakidhi.


Hata hili pia yaweza kuongezwa kama FAO mojawapo na vigezo vikaundwaa.

Niko tayari kuwatengenezea product setup💪💪☝️☝️👏👏

Cc Jenister Muhagamaaa
 
Back
Top Bottom