Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
*WALE WANAOHITAJI* *MASHINE ZA KUKOBOA NA KUSAGA TUNAWALETEA OFA KUBWA MSIMU HUU WA MAVUNO*
*SASA MILIKI MASHINE YAKO KUBWA KWA BEI NDOGO KABISA*
MSIMU WA MAVUNO NI SASA
*OFFA ZETU HIZI TANZANIA VIWANDA INAWEZEKANA*
*ORODHA MASHINE ZA KUSAGA*
*Kinu*
*Namba 50 mota 20hp gharama kuu-2400000*
*mashine kamili kabisa*
*Kinu*
*namba 75 mota 30hp gharama* *kuu-3400000*
*Kinu*
*Namba 100 mota 40hp*
*gharama 5200000*
*Orodha mashine za kukoboa*
*Rola 2 kinu + mota 20hp gharama kuu 2500000*
*Rola 3 Kinu + mota 30hp gharama kuu 3500000*
*Rola 4 Kinu +mota 40hp gharama yake 4500000*
*Rola 5 +mota 40hp gharama yake 5700000*
*KUMBUKA MASHINE ZOTE NI PAMOJA NA RELI ZAKE NA STAND*
*WAHI MSIMU HUU WA OFFA ZETU MASHINE IMARA NA BORA KABISA*
*TUPO UBUNGO EXTERNAL LOLOTE NIPIGIE 0762612213*
View attachment 1049038View attachment 1049039View attachment 1049040
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashine ya Alizeti Kwa sasa kukamua na kuchuja ni million kumiMashine ya alizeti nataka nipe bei
Sent from my iPhone using JamiiForums
Je hamna mashine zinazotumia nishati yha mafuta maana sehemu nyingi zenye huitaji wa hizo mashine hazijafikiwa na umeme?.
Je mnazo mashine za kukamua alizeti na kusafisha mafuta yake?
mkuu UMEME karibu 90% ya hapa Tanzania imefikiwa na UMEME REA wamefanya kazi
na mashine ya Kusaga na kukoboa sio vijijini Bali mjini ndiko kuna wanaokula ugali sana kama chakula kikuu soko lake Kubwa sana
nakushauri pia kama ulikuwa unadhani vijijini basi sio hivyo MASHINE NI MJINI NA NDIO MAANA HATA GIANT MACHINES ZIPO MJINI
MALIGHAFI UNAZITOA KIJIJINI UMAWAPELEKEA UNGA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni za Sido au China?Wale wanaohitaji* *mashine za kukoboa na kusaga tunawaletea ofa kubwa msimu huu wa mavuno*
Ssasa miliki mashine yako kubwa kwa bei ndogo kabisa*
Msimu wa mavuno ni sasa
*Offa zetu hizi tanzania viwanda inawezekana*
*Orodha mashine za kusaga*
*Kinu*
*Namba 50 mota 20hp gharama kuu-2400000*
*Mashine kamili kabisa*
*Kinu*
*namba 75 mota 30hp gharama* *kuu-3400000*
*Kinu*
*Namba 100 mota 40hp*
*Gharama 5200000*
*Orodha mashine za kukoboa*
*Rola 2 kinu + mota 20hp gharama kuu 2500000*
*Rola 3 kinu + mota 30hp gharama kuu 3500000*
*Rola 4 kinu +mota 40hp gharama yake 4500000*
*Rola 5 +mota 40hp gharama yake 5700000*
*Kumbuka mashine zote ni pamoja na reli zake na stand*
*Wahi msimu huu wa offa zetu mashine imara na bora kabisa*
*Tupo ubungo external lolote nipigie 0762612213*
View attachment 1049038View attachment 1049039View attachment 1049040
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sorry kwa kutokukujibu nishatiNashukuru, ila hujajibu swali nililokuuliza kuhusu mashine za nishati.
Hilo la kuniambia 90% hapa Tanzania kuna umeme, na watu wanaosaga wapo mijini, hii inamaana mmejikita zaidi kwa watu wa mijini na si wa vijijini.
Kwa matiki hii, si qualify kuwa mteja wanu.
Ndio mkuu japo Sido haitengenezi mashine Bali inajumuisha watengenezaji eneo moja Tuna site mbili vingunguti na Hapa ubungo external.Ni za Sido au China?
Kwamba hamna mtaji wa kuunda mashine hadi mteja alipe advance?Mashine ya Alizeti Kwa sasa kukamua na kuchuja ni million kumi
karibu na unalipa 75% ndipo inaanza kutengenezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida sio mtaji mkuu Bali ni kufuatana na uhitaji wa mteja bila hivyo utaitengeneza halafu iendelee kukaa katika karakana ndio maana inakuwa hivyo Akilipa hiyo mnaongezea kama haijatosheleza ili mradi yeye amalizie kilichobaki ikiwa tayari mashine yake
Million moja na Laki nne Ndugu japo hizi hatuuzi tutakuunganisha Kwa wauzaji karibu sanaNaomba mota ya deseli machine ya kusaga shigapi
Je hamna mashine zinazotumia nishati yha mafuta maana sehemu nyingi zenye huitaji wa hizo mashine hazijafikiwa na umeme?.
Je mnazo mashine za kukamua alizeti na kusafisha mafuta yake?
Acha siasa za kijinga kwenye biashara,mkuu UMEME karibu 90% ya hapa Tanzania imefikiwa na UMEME REA wamefanya kazi
na mashine ya Kusaga na kukoboa sio vijijini Bali mjini ndiko kuna wanaokula ugali sana kama chakula kikuu soko lake Kubwa sana
nakushauri pia kama ulikuwa unadhani vijijini basi sio hivyo MASHINE NI MJINI NA NDIO MAANA HATA GIANT MACHINES ZIPO MJINI
MALIGHAFI UNAZITOA KIJIJINI UMAWAPELEKEA UNGA
Sent using Jamii Forums mobile app
mambo yetu haya! sema. bei. zimechangamka kidogo
Mkuu hivi Unapoingiza umeme ndani kwako Tanesco wanakuhitaji nini?kizuri ni kwamba mnachonga na chassis tofauti na mazoea ya huku mitaani. vinginevyo bidhaa iko sawa.
Kwa upande mwingine ungenyoosha maelezo kiasi unaposema 'mashine kamili'
Mashine zinazokokotwa na mota hazikamiliki bila mtandao wa umeme.. hivyo. ungeweka. sawa kama mnatoa na circuit breake, main switch ya 3 phase, stater, cables nk maana sisi wamang'ati tutakuzolea milioni zako 2,400,000 kisha tusubiri kukinga unga tu basi!