Z zejono Member Joined Mar 14, 2015 Posts 34 Reaction score 4 Mar 25, 2017 #1 Kwa mwenye kuweza kunitafutia au kuniambia ni sehemu gani zinauzwa hizi mashine ya kukata tiketi na na risiti pls aniambie kupitia uzi huu
Kwa mwenye kuweza kunitafutia au kuniambia ni sehemu gani zinauzwa hizi mashine ya kukata tiketi na na risiti pls aniambie kupitia uzi huu
Mwanzi1 JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 5,999 Reaction score 4,591 Mar 25, 2017 #2 Hivi hii ni mashine au kifaa? Nailiza tu.