Mashine za fumigation mpya na used zinahitajika

Mashine za fumigation mpya na used zinahitajika

kanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
1,025
Reaction score
494
Wanajf naomba kupata ushirikiano wenu kwa taarifa sahihi wapi naweza kupata mashine katika jiji la Dar es salaam kwa kazi ya fumigation kwa matumizi ya majumbani na biashara (domestic and commercial use).Mashine aina zote hand /manual spray na motorized fumigation spray zinahitajika.Mashine zinazotafutwa ni aina zote used na mpya.Toa ushirikiano maana ujasiriamali ni muhimu .
 
Back
Top Bottom