SongelaeliPY
Member
- Oct 22, 2017
- 6
- 1
Mambo ya kienyeji yamepitwa na wakati saiv
Bei ni kulingana na wewe unataka ya mayai mangapibei yake tafadhari
ahsanteBei ni kulingana na wewe unataka ya mayai mangapikama hiyo inapakia mayai mia na hamsini inapatikana kwa laki mbili tuu
Mwadela bhabha msukuma unazingua,,sio kila mtu mtapeliBila picha na bei huo utakuwa utapeli tu
Inatumia nishati gani?Bei ni kulingana na wewe unataka ya mayai mangapikama hiyo inapakia mayai mia na hamsini inapatikana kwa laki mbili tuu
Sio lazma ununue sisi kama wanajamii tunajuzana tunaelimishana kama hitojal nichek tubadilishane mawazo,,mpaka sasa nimeona matunda yakeahsante
Mwadela bhabha msukuma unazingua,,sio kila mtu mtapeli
Picha ya mashine ni hii hapani rahisi sana kutumia nicheki kwa hiyo namba kwa ushauri na elim kwa ujumla hata kama hutashawishika kuipata
Sio lazma ununue sisi kama wanajamii tunajuzana tunaelimishana kama hitojal nichek tubadilishane mawazo,,mpaka sasa nimeona matunda yakehao nimewapata kupitia mashine hyo