malamsha shao
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 228
- 95
Habari wakuu, kuna dogo anataka kuanza biashara ya kusajili line zote za simu kwa alama za vidole na kuuza line za simu.
Amesema kuna mtu alimwambia anatakiwa awe na mashine ambayo ipo kama simu inaitwa famoco.
Wenye uzoefu, msaada jamani.
Amesema kuna mtu alimwambia anatakiwa awe na mashine ambayo ipo kama simu inaitwa famoco.
Wenye uzoefu, msaada jamani.