ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,323
- 4,551
Habari wadau;
Mwenye kufahamu kuhusu bei na upatikananji wa mshine za kufyatua tofali kwa maeneo ya Arusha anijulishe aina pamoja na bei zake.
Pia mwenye uzoefu wa biashara ya kuuza tofali anijulishe kuhusu gharama na faida ya biashara hii
Asante
Mwenye kufahamu kuhusu bei na upatikananji wa mshine za kufyatua tofali kwa maeneo ya Arusha anijulishe aina pamoja na bei zake.
Pia mwenye uzoefu wa biashara ya kuuza tofali anijulishe kuhusu gharama na faida ya biashara hii
Asante