Hii mashine ni nzuri saana ni mitungi mitatu ima nguvu saana yaan ndani ya dakika moja ishaweka mabarafu kama ukiwa hujawwka juice bado kila mtungi unabeba lita 18...kwa hiyo jumla inabeba lita 54
INAFAA KWA
biashara,, unaiweka sehemu tu unakuweka kijana anakuwa anakuuzia juice..maeneo ya mtaan au hata city centre...inachukua ka eneo kadogo tu.kwa hiyo sio lazima ukodi frem..hata ka upenyo kadogo tu inakaa afu muuzaji hata akiwa pembeni tu anasubir wateja
Matunda a 20k unatoa mauzo ya 60k...hapo faida 40k..na hapo ni juice ya elfu moja moja tu..kama ukiuza elfu mbili na faida inakuwa maradufu zaidi
BEI
ikiwa mpya kwenye box mitungi mitatu ni 1.3 hadi 1.5M.....ila mi kwa kiwa nimeshaitumia nitakuuzia kwa 850,000 tu
MAHALI
ipo kinondoni
nipigie 0683473391
INAFAA KWA
biashara,, unaiweka sehemu tu unakuweka kijana anakuwa anakuuzia juice..maeneo ya mtaan au hata city centre...inachukua ka eneo kadogo tu.kwa hiyo sio lazima ukodi frem..hata ka upenyo kadogo tu inakaa afu muuzaji hata akiwa pembeni tu anasubir wateja
Matunda a 20k unatoa mauzo ya 60k...hapo faida 40k..na hapo ni juice ya elfu moja moja tu..kama ukiuza elfu mbili na faida inakuwa maradufu zaidi
BEI
ikiwa mpya kwenye box mitungi mitatu ni 1.3 hadi 1.5M.....ila mi kwa kiwa nimeshaitumia nitakuuzia kwa 850,000 tu
MAHALI
ipo kinondoni
nipigie 0683473391