Mashine kusaga na kukoboa

Mashine kusaga na kukoboa

Lugombo Nsesi

Senior Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
126
Reaction score
151
Wakuu pole na majukumu ya kila siku.

Kwakifupi nahitaji mashine ya kusanga na kukoboa kwa hapa Dar.

Nahitaji mashine kwajiri ya kusindika unga,....
Nimeambiwa na watu wengi Sana kua zipo madukani
Wengine wanasema zipo VETA...
Wengine wanasema zipo SIDO.....

Naomba Sana mwenye kujua anipe tarifa plzzz....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom