Mashine 2 za kuoshea magari zinauzwa

Mashine 2 za kuoshea magari zinauzwa

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,776
Kwa wadau waliopo Mtwara ninauza mashine 2 za kuoshea magari zinazotumia petrol, zimefanya kazi kwa miezi mitatu 3, kwa anayehitaji anipigie 0787 092 186. Bei ni 600,000/= kwa mashine moja.
 
ziko mkoa gani.? kwa bei ipi..?nn sababu ya kuuza?unaanzia sh ngp..? be well organized...!
 
Hebu tuambizane vizuri kuhusu hii biashara, hapa nilipo hakuna mashine hata moja watu wanaoshea ndoo na mikono tu, mashine hii inauwezo wa kuvuta maji toka tank la chini? vipi inatumia umeme au zipo na za mafuta? kuna anaeweza kutuwdkea mchanganuo wa vifaa vinavyotumika ktk biashara hii atusaidie,
 
Back
Top Bottom