Nilikuwepo toka jana usiku nakutafuta mpaka mwanasheria ametishia kunifikisha mahakamani, usihofu kura yangu hujaikosa si unaona muda huo,nimepiga dakika moja kabla ya saa tisa alasiri na asipoihesabu Lundenga ajitayarishe kuwashwa miezi sita mfululizo