Mashindano ya dance 100%

Mashindano ya dance 100%

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,380
Reaction score
56,080
Jamani mimi huwa nayafuatilia sana,yanaonyeshwa EATV Jumamosi saa moja usiku na j5 saa moja.

Ila siwaelewi majaji hua wanaangalia vigezo gani kwa washiriki.

Utakuta washiriki wanadance vizuri ila majaji maksi wanazotoa znakatisha tamaa.

Tafadhali jamani msiwe mnakatisha tamaa kihivyo.

Majaji ni lotus,nyamwela na queen darlin.

Basi muwe mnatoa vigezo vinahtajika maana kuna washiriki wametoka KIGOMA ila hizo marks sasa mnakatisha tamaa
Wapeni moyo wa mikoani jamani ili kuleta ushindani wa kweli na wala si DAR peke yake labda km ni mashindano ya DAR tu!

Ni hayo tu kwa leo km ---- wengine wanafatilia km mimi watachangia maaa mi binafs nakipenda.
 
yule dada wa nirvana anaangalia dresscode/mavazi, nyamwela -ubunifu na kasi ya kucheza. queen anaangalia styles. mi nafikiri hivo mkuu
 
yule dada wa nirvana anaangalia dresscode/mavazi, nyamwela -ubunifu na kasi ya kucheza. queen anaangalia styles. mi nafikiri hivo mkuu

okey kumbe maana wengine wanadance vzr maksi wanaambulia kumi
 
ela yenyewe ya kushindaniwa ni ndogo ukilinganisha na vile madogo wanavyojitahidi
 
Dah mwenyewe si inogi wanatumiaga vigezo gani naona wanatoa maksi kwa kukisia vile
 
Kama hawawezi waache
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom