BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,249
Habarini za jioni ndugu zangu.
Nimejiwekeza hapa nimepata kama mil 5.
Sasa nahitaji niione tu marekani kwa macho yangu sio kusimuliwa kila siku na kuiona mtandaoni.
Sada naomba nijue vigezo kuanzia visa mpaka kukubaliwa kwenda huko na sina hata ndugu huko.
Na je nauli zipoje kwa sasa kwa kuangalia ndege ambayo ni nafuu sana.
Msaada ndugu zangu.
Ikishindikana hata China nayo naipenda pia.
Nimejiwekeza hapa nimepata kama mil 5.
Sasa nahitaji niione tu marekani kwa macho yangu sio kusimuliwa kila siku na kuiona mtandaoni.
Sada naomba nijue vigezo kuanzia visa mpaka kukubaliwa kwenda huko na sina hata ndugu huko.
Na je nauli zipoje kwa sasa kwa kuangalia ndege ambayo ni nafuu sana.
Msaada ndugu zangu.
Ikishindikana hata China nayo naipenda pia.
una mil.5 unataka kwenda kwa trump
njoo tuzile tuu