Mashambulizi yapelekea Total kusitisha shughuli Msumbiji

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Ikiwa zimepita wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa na Wanamgambo, Kampuni ya Total imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji

Kampuni hiyo kubwa ya Nishati imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote kwasababu ya mwenendo wa hali ya usalama. Watu kadhaa walipoteza maisha katika shambulio lililotokea mwezi Machi

Ghasia ambazo zimekuwepo kwa miaka minne Cabo Delgado zimepelekea vifo vya watu zaidi ya 2,500 huku wengine 700,000 wakikimbia makazi yao

=====

French energy giant Total has suspended operations at a site exploring a major gas field in northern Mozambique weeks after Islamist militants attacked a nearby town.

The company said that it was withdrawing all its staff because of the "evolving" security situation.

Dozens of people were killed in the March raid.

Militants linked to the Islamic State (IS) group are behind the conflict in the predominantly Muslim region.

During the 24 March attack contract workers and locals sought refuge at the Amarula Palma Hotel and later recounted their harrowing experiences.

Last year Total began to develop a $20bn (£14.6bn) gas liquification plant - which, when complete, will be the second largest gas reserve in Africa.

The four-year insurgency in Cabo Delgado region has left more than 2,500 people dead and 700,000 displaced since the insurgency began in 2017.

President Felipe Nyusi has promised to restore peace in the region.

Source: BBC
 
Ikiwa zimepita wiki kadhaa tangu Mji jirani kushambuliwa na Wanamgambo, Kampuni ya Total imesitisha shughuli za kuchunguza eneo kubwa la gesi Kaskazini mwa Msumbiji

Kampuni hiyo kubwa ya Nishati imesema itaondoa Wafanyakazi wake wote kwasababu ya mwenendo wa hali ya usalama. Watu kadhaa walipoteza maisha katika shambulio lililotokea mwezi Machi

Ghasia ambazo zimekuwepo kwa miaka minne Cabo Delgado zimepelekea vifo vya watu zaidi ya 2,500 huku wengine 700,000 wakikimbia makazi yao

=====

French energy giant Total has suspended operations at a site exploring a major gas field in northern Mozambique weeks after Islamist militants attacked a nearby town.

The company said that it was withdrawing all its staff because of the "evolving" security situation.

Dozens of people were killed in the March raid.

Militants linked to the Islamic State (IS) group are behind the conflict in the predominantly Muslim region.

During the 24 March attack contract workers and locals sought refuge at the Amarula Palma Hotel and later recounted their harrowing experiences.

Last year Total began to develop a $20bn (£14.6bn) gas liquification plant - which, when complete, will be the second largest gas reserve in Africa.

The four-year insurgency in Cabo Delgado region has left more than 2,500 people dead and 700,000 displaced since the insurgency began in 2017.
I
President Felipe Nyusi has promised to restore peace in the region.

Source: BBC
Yaani inatia huruma kuona Ufaransa mpaka hivi sasa hajatambua kwamba inapigwa vita vya kiuchumi na taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza hao ndio wana fund vikundi hivi na kuwapatia silaha na mafunzo, kumbuka mwaka juzi jeshi la Msumbiji liliwahi kutia mbaroni mzungu kutoka Afrika kusini ambaye alikuwa anawalipa waasi,anawapa silaha na wafunzo - Amerika na Uingereza wanajuwa fika utajiri mkubwa wa mafuta na gesi uliyopo kaskazini mwa Msumbiji ni nyingi mno barani Afrika kuliko Taifa mataifa mengine barani - sasa wazingu wenzao ndio wanataka kutumia mbinu hizo kuwaengua kampuni ya mafuta na gesi ya nchini Ufaransa vita hii ya kutaka kupunguza influence ya wafaransa barani Afrika ni ya muda mrefu,kuanzia Congo DRC,Rwanda,Central Africa Republic and other franophone west African Nations-ni vita ya chini chini/kificho lakini ni real,hata hili bomba la mafuta kutoka Uganda kuja Bandari ya Tanga ulinzi wake unapashwa kuimarishwa na nchi zetu mbili - taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza sio za kuchukulia lightly tujifunze kutoka Syria kulitokea nini baada ya Assad kukatalia kampuni za Gesi za Narekani na Qatar kupitisha bomba la gesi Syria kwenda kwenye soko la Ulaya kupitia Syria,Uturuki na Ujerumani ili wamwaribie soko Mrusi, Assad alipo wakatalia ndio wakamuundia vikosi vya ISIS ili andolewe madarakani watandaze bomba la gesi kwenda Ujerumani - hakuna cha Waasi wa kislaam wala nini sijui - hao wanatumiwa tu kutekeleza ajenda za siri za CIA na MI6,nakumbuka niliwahi kushuhudia helicopters za jeshi la Merikani zikiwadondoshea silaha waasi wa Syria (ISIS)
 
Yaani inatia huruma kuona Ufaransa mpaka hivi sasa hajatambua kwamba inapigwa vita vya kiuchumi na taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza hao ndio wana fund vikundi hivi na kuwapatia silaha na mafunzo, kumbuka mwaka juzi jeshi la Msumbiji liliwahi kutia mbaroni mzungu kutoka Afrika kusini ambaye alikuwa anawalipa waasi,anawapa silaha na wafunzo - Amerika na Uingereza wanajuwa fika utajiri mkubwa wa mafuta na gesi uliyopo kaskazini mwa Msumbiji ni nyingi mno barani Afrika kuliko Taifa mataifa mengine barani - sasa wazingu wenzao ndio wanataka kutumia mbinu hizo kuwaengua kampuni ya mafuta na gesi ya nchini Ufaransa vita hii ya kutaka kupunguza influence ya wafaransa barani Afrika ni ya muda mrefu,kuanzia Congo DRC,Rwanda,Central Africa Republic and other franophone west African Nations-ni vita ya chini chini/kificho lakini ni real,hata hili bomba la mafuta kutoka Uganda kuja Bandari ya Tanga ulinzi wake unapashwa kuimarishwa na nchi zetu mbili - taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza sio za kuchukulia lightly tujifunze kutoka Syria kulitokea nini baada ya Assad kukatalia kampuni za Gesi za Narekani na Qatar kupitisha bomba la gesi Syria kwenda kwenye soko la Ulaya kupitia Syria,Uturuki na Ujerumani ili wamwaribie soko Mrusi, Assad alipo wakatalia ndio wakamuundia vikosi vya ISIS ili andolewe madarakani watandaze bomba la gesi kwenda Ujerumani - hakuna cha Waasi wa kislaam wala nini sijui - hao wanatumiwa tu kutekeleza ajenda za siri za CIA na MI6,nakumbuka niliwahi kushuhudia helicopters za jeshi la Merikani zikiwadondoshea silaha waasi wa Syria (ISIS)
Ulikuwa Syria juzi kati Nini?
 
Ulikuwa Syria juzi kati Nini?
Wakati ISIS imepamba moto wakishikiriana na Utawala wa Uturuki, Uturuki ilihusika zaidi katika wizi wa mafuta kutoka kwenye visima na kwenda kuyauza nje.

Hali ilikuwa mbaya sana - utawala wa Assad ukiwa almanusura kuondolewa madarakani, kama Putin hasingeingilia kati fasta Asssad angebaki historia - wakati huo Ndege za vita za USA walikuwa wana hadaa Dunia kwamba wanashambulia ISIS badala yake ndege zinadondosha mabomu kwenye sand dunes jangwani ambako hakuna ISIS militant hata mmoja - kenyume chake USAir force helicopters zinawadodoshea silaha, ammunitions,fedha waasi (ISIS) ili wamwondoe madarakani Assad.

As I said Putin ndiye aliwavurugia Wamerika na Waingereza mpango mzima wa kumpidua Assad, huo ndio ukawa mwisho wa ndoto za Amerika kutandaza bomba la kusafirisha gesi asili ya Amerika kutoka bandari ya Qatar kupitia Syria kwenda Ujerumani/Continental Europe wakiwa na lengo la kuipiku Urusi kwenye biashara ya gesi,vurugu zote Duniani zinatokana idealogies kinzani,vita vya kiuchumi, ushindani wa uundaji MDW ukiwa la lengo la ku-dominate Dunia kwa mlengo fulani wa masuala ya Geopolitics.
 
Yaani inatia huruma kuona Ufaransa mpaka hivi sasa hajatambua kwamba inapigwa vita vya kiuchumi na taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza hao ndio wana fund vikundi hivi na kuwapatia silaha na mafunzo, kumbuka mwaka juzi jeshi la Msumbiji liliwahi kutia mbaroni mzungu kutoka Afrika kusini ambaye alikuwa anawalipa waasi,anawapa silaha na wafunzo - Amerika na Uingereza wanajuwa fika utajiri mkubwa wa mafuta na gesi uliyopo kaskazini mwa Msumbiji ni nyingi mno barani Afrika kuliko Taifa mataifa mengine barani - sasa wazingu wenzao ndio wanataka kutumia mbinu hizo kuwaengua kampuni ya mafuta na gesi ya nchini Ufaransa vita hii ya kutaka kupunguza influence ya wafaransa barani Afrika ni ya muda mrefu,kuanzia Congo DRC,Rwanda,Central Africa Republic and other franophone west African Nations-ni vita ya chini chini/kificho lakini ni real,hata hili bomba la mafuta kutoka Uganda kuja Bandari ya Tanga ulinzi wake unapashwa kuimarishwa na nchi zetu mbili - taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza sio za kuchukulia lightly tujifunze kutoka Syria kulitokea nini baada ya Assad kukatalia kampuni za Gesi za Narekani na Qatar kupitisha bomba la gesi Syria kwenda kwenye soko la Ulaya kupitia Syria,Uturuki na Ujerumani ili wamwaribie soko Mrusi, Assad alipo wakatalia ndio wakamuundia vikosi vya ISIS ili andolewe madarakani watandaze bomba la gesi kwenda Ujerumani - hakuna cha Waasi wa kislaam wala nini sijui - hao wanatumiwa tu kutekeleza ajenda za siri za CIA na MI6,nakumbuka niliwahi kushuhudia helicopters za jeshi la Merikani zikiwadondoshea silaha waasi wa Syria (ISIS)
Dunia inajua hawa jamaa wa msumbiji walikuwa kibiti ndo hao walio hamia uko baada ya kufurushwa na vijana wa SIRO , na sasa wanaendelea kusumbua uko, hiyo inamaana kwamba SIRO na VIJANA wake wangelilegeza inachokipata msumbiji kilikuwa kinakwenda tokea Tanzania.

Hao jamaa ni matunda ya Sheikh Rogo.. Huyu Sheikh alikuwa na cheni ndefu sana ya wahubiri wa dini toka uko mashariki ya kati.
Mmoja wa hao aliwai kamatwa na ungwa wa kutengeneza milipuko.

Kudai kuwa kundi ilo ni kazi ya beberu ni dai dhaifu sana, na uenda ni dai linalotumika na watu wanaopinga jitihada za kufifisha ugaidi/msimamo Mikali ya kidini.

Ikiwa wimbo wa kila tukio baya ni kazi ya beberu hii itafanya watu washindwe wajibika kuripoti viashiria vyovyote vile vya ugaidi kwasababu tayari wanajua matukio yote ya ugaidi/misimamo mikali HOAX wakati sio KWELI.

Una Taranta kubwa sana ya uandishi, una vutia sana kwenye coment zako, ila nahisi kwa bahati mbaya ama maksudi uwa unaaamua kupotosha.

UGAIDI IS REALLY.

Sheikh wa msikitini uko mwanza aliwapinga hawa jamaa, wakamuulia msikitini.
 
Yaani inatia huruma kuona Ufaransa mpaka hivi sasa hajatambua kwamba inapigwa vita vya kiuchumi na taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza hao ndio wana fund vikundi hivi na kuwapatia silaha na mafunzo, kumbuka mwaka juzi jeshi la Msumbiji liliwahi kutia mbaroni mzungu kutoka Afrika kusini ambaye alikuwa anawalipa waasi,anawapa silaha na wafunzo - Amerika na Uingereza wanajuwa fika utajiri mkubwa wa mafuta na gesi uliyopo kaskazini mwa Msumbiji ni nyingi mno barani Afrika kuliko Taifa mataifa mengine barani - sasa wazingu wenzao ndio wanataka kutumia mbinu hizo kuwaengua kampuni ya mafuta na gesi ya nchini Ufaransa vita hii ya kutaka kupunguza influence ya wafaransa barani Afrika ni ya muda mrefu,kuanzia Congo DRC,Rwanda,Central Africa Republic and other franophone west African Nations-ni vita ya chini chini/kificho lakini ni real,hata hili bomba la mafuta kutoka Uganda kuja Bandari ya Tanga ulinzi wake unapashwa kuimarishwa na nchi zetu mbili - taasisi za kijasusi za Marekani na Uingereza sio za kuchukulia lightly tujifunze kutoka Syria kulitokea nini baada ya Assad kukatalia kampuni za Gesi za Narekani na Qatar kupitisha bomba la gesi Syria kwenda kwenye soko la Ulaya kupitia Syria,Uturuki na Ujerumani ili wamwaribie soko Mrusi, Assad alipo wakatalia ndio wakamuundia vikosi vya ISIS ili andolewe madarakani watandaze bomba la gesi kwenda Ujerumani - hakuna cha Waasi wa kislaam wala nini sijui - hao wanatumiwa tu kutekeleza ajenda za siri za CIA na MI6,nakumbuka niliwahi kushuhudia helicopters za jeshi la Merikani zikiwadondoshea silaha waasi wa Syria (ISIS)


Tukipata watu km nyingi Africa tutatoka kizani.. kuna miAfrica mipoyoyo eti inaamini kuna ISIS msumbiji,Syria,Libya nk
 
Dunia inajua hawa jamaa wa msumbiji walikuwa kibiti ndo hao walio hamia uko baada ya kufurushwa na vijana wa SIRO , na sasa wanaendelea kusumbua uko, hiyo inamaana kwamba SIRO na VIJANA wake wangelilegeza inachokipata msumbiji kilikuwa kinakwenda tokea Tanzania.

Hao jamaa ni matunda ya Sheikh Rogo.. Huyu Sheikh alikuwa na cheni ndefu sana ya wahubiri wa dini toka uko mashariki ya kati.
Mmoja wa hao aliwai kamatwa na ungwa wa kutengeneza milipuko.

Kudai kuwa kundi ilo ni kazi ya beberu ni dai dhaifu sana, na uenda ni dai linalotumika na watu wanaopinga jitihada za kufifisha ugaidi/msimamo Mikali ya kidini.

Ikiwa wimbo wa kila tukio baya ni kazi ya beberu hii itafanya watu washindwe wajibika kuripoti viashiria vyovyote vile vya ugaidi kwasababu tayari wanajua matukio yote ya ugaidi/misimamo mikali HOAX wakati sio KWELI.

Una Taranta kubwa sana ya uandishi, una vutia sana kwenye coment zako, ila nahisi kwa bahati mbaya ama maksudi uwa unaaamua kupotosha.

UGAIDI IS REALLY.

Sheikh wa msikitini uko mwanza aliwapinga hawa jamaa, wakamuulia msikitini.
Waislamu(wasuni) wamekuwa wakiimba hizo propaganda za kuwa magaidi yanafadhiliwa na marekani mara ooh hao hawaujui uislam,sisi tunawacheki tu wakidhani hatujui baadhi ya misikiti ndio shule wanazopeana.Wanachofanya magaidi duniani kote ndio hasa sura halisi ya uislam.
 
Back
Top Bottom