Ndugu wan JF naomba msaada kwa yeyote yule anayefahamu sehemu ambayo ina mashamba ya umwagiliaji kwa mikoa ya Dar es salaam na Pwani nahitaji kuanzaisha kilimo cha umwagiliaji wa mbogamboga na mahindi mabichi. Nimetafuta ajira nimekosa .
Shamba la umwagiliaji maana yake ni ardhi ambayo imewekewa mfumo wa kumwaga maji kwa ajili ya mimea iliyopandwa. Sehemu yoyote inaweza kuwa shamba la umwagiliaji. You can make your own shamba la umwagiliaji. Sijaelewa msingi wa wewe kutafuta sehemu maalum inayoitwa shamba la umwagiliaji...
sina majibu kwa mikoa ulouliza,. ila nakushauri ufuge kuku wa nyama wanalipa sana hapa town mkuu, ni biashara ambayo ukiifanya kitaaalam hutakaa ukajutia uamuzi wako..
Nimefurahi kusikia hivyo, nina mpango wa kuanza ufugaji ila nilikuwa nafikiria kuku wa mayai-- ningependa kudadisi kwa nini umeshauri kuku wanyama? asante
sina majibu kwa mikoa ulouliza,. ila nakushauri ufuge kuku wa nyama wanalipa sana hapa town mkuu, ni biashara ambayo ukiifanya kitaaalam hutakaa ukajutia uamuzi wako..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.