Mbona hii bei kwa maeneo mengi ya chanika kwa ukubwa huo ni ya kilanguzi mkuu!? Au kuna nini cha ziada hapo?Millions 4 , 30×35
Mbona hii bei kwa maeneo mengi ya chanika kwa ukubwa huo ni ya kilanguzi mkuu!? Au kuna nini cha ziada hapo?Millions 4 , 30×35
Bei kubwa?Mbona hii bei kwa maeneo mengi ya chanika kwa ukubwa huo ni ya kilanguzi mkuu!? Au kuna nini cha ziada hapo?
Kwa mujibu wa taarifa uliyoandika (Chanika na ukubwa wa eneo) hiyo bei uliyotoa iko juu. Labda kama kuna maelewano mkuu.Bei kubwa?
Maelewano yapo, nitafuteKwa mujibu wa taarifa uliyoandika (Chanika na ukubwa wa eneo) hiyo bei uliyotoa iko juu. Labda kama kuna maelewano mkuu.
Utatoa bei gani?Kwa mujibu wa taarifa uliyoandika (Chanika na ukubwa wa eneo) hiyo bei uliyotoa iko juu. Labda kama kuna maelewano mkuu.
Utatoa bei gani?Kwa mujibu wa taarifa uliyoandika (Chanika na ukubwa wa eneo) hiyo bei uliyotoa iko juu. Labda kama kuna maelewano mkuu.
Dhibitisha hili.Hakuna mgogoro
Chanika being gani?Kwa mujibu wa taarifa uliyoandika (Chanika na ukubwa wa eneo) hiyo bei uliyotoa iko juu. Labda kama kuna maelewano mkuu.
Yaani mkuu square metres 30×35 ni ndogo kwa millions 4?, haupo seriousKwa mujibu wa taarifa uliyoandika (Chanika na ukubwa wa eneo) hiyo bei uliyotoa iko juu. Labda kama kuna maelewano mkuu.
Sidhani kama umenielewa mkuu. Mimi nina maeneo huko ndio maana nilikujibu kiungwana tu na wala sikuwa na nia tofauti zaidi ya kujaribu kuweka kumbukumbu sawa.Yaani mkuu square metres 30×35 ni ndogo kwa millions 4?, haupo serious
Unayo Chanika ipi?Sidhani kama umenielewa mkuu. Mimi nina maeneo huko ndio maana nilikujibu kiungwana tu na wala sikuwa na nia tofauti zaidi ya kujaribu kuweka kumbukumbu sawa.
Yapo wapo yako mkuu na bei inaendaje kwa heka?mkishindwana.uje nikuuzie Mashamba ya kulima na kuishi