Mashamba ya kukodi na kununua-Ruvu

mtufudenge

Member
Joined
Jun 7, 2016
Posts
9
Reaction score
13
Habarini wajasiriamali wenzangu, naomba kujulishwa kama kuna uwezekano wa kupata shamba la kununua au kukodi-Ruvu . Asanteni kwa msaada wenu.
 
ruvu unaweza kupata lakini kuwa makini matapeli ni wengi sana unaweza kuuziwa shamba la mtu kama huko serious tuwasiliane nikuunganishe na wadau kuna mashamba nayafahamu maeneo ya kiwangwa yanayomilikiwa na wenyeji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…