Nimeona habari kupitia kituo cha ITV inahusiana na maswala ya uhalibuji wa mashamba ya mangi huko tarime lakini ghafla nikaona mtu mmoja ambae ameambatano na polisi akionyesha bendera ya chadema wakiwa kwenye uteketezaji wa shamba hilo sijaelewa hebu waliiona habari nijuzeni