Mashaka makubwa kwa uongozi wa awamu ya tano

Say no to actors

JF-Expert Member
Aug 9, 2016
637
640
Wapendwa wanajamvi,
Nimevumilia na hàtimaye uzalendo umenishinda. Hakuna rais yeyote duniani ambaye alishawahi kuwa na kauli za dharau na maudhi kwa wananchi wake kama rais magufuli.

Hata ukifuatilia rekodi za Marais ambao waliongoza kidikiteta katika nchi zao hawakuwa na kauli za kuudhi na za kipumbavu kama nilizosikia Leo kutoka kwa huyu rais.

Amewadharau watu wote kama alivyozoea kumdharau mke wake. Wako wapi wazee mbalimbali na viongozi wa dini ambao kipindi cha kikwete walikuwa wakitoka wazi na kukemea?

Hii dharau huyu mtu kaipata wapi na kwa nini awe na dharau kiasi hiki kama vile nchi haina wanaume wa kuhoji?

Mimi siko tiyari kuvumilia dharau za kijinga hizi kule kwetu mara hasa kijijini kwetu KIRIBA hatukuzoea dharau za kijinga kama hizi zilizotokea Leo, hii Ni zaidi ya udikiteta.

Sasa namuomba rais magufuli atangaze rasmi kuwa nchi sasa inaongozwa kibabe ili tunaoonekana kutokubaliana na upumbavu huo tujitokeze na wanaoonekana kupendezwa na upumbavu huo nao wajitokeze tutafutane mitaani basi.
 
Anaongea kwa dharau sababu alichotaka amepata nacho ni kujilimbikizia Mali.

Tumeona Makonda akimsaidia hata kunyang'anya ili mradi wapate.Hawa ndiyo wenye nyumba waache wapate ni.muda wao.
 
Niliwahi kusema humu jukwaani..kama tulisema serikali ya awamu ya nne iliharibu na kuboronga basi tusubiri na tuione awamu hii ya tano!

Waziri anasema hiki, rais kile, mkuu wa mkoa anasema lile..yani kila mtu anajisemea lake na wote wanahudumu serikali moja..

Hii ni hatua ya kushindwa kulikotukuka kitu ambacho najisikia vibaya sana kuona kikitokea.
 
Hii mbaya sana hasa wananchi watakapo choka na hayo madharau na kuamua liwalo naliwe nakuamua kujiondoa ufahamu na kujivika mabomu.
 
Wapendwa wanajamvi,
Nimevumilia na hàtimaye uzalendo umenishinda. Hakuna rais yeyote duniani ambaye alishawahi kuwa na kauli za dharau na maudhi kwa wananchi wake kama rais magufuli. Hata ukifuatilia rekodi za Marais ambao waliongoza kidikiteta katika nchi zao hawakuwa na kauli za kuudhi na za kipumbavu kama nilizosikia Leo kutoka kwa huyu rais. Amewadharau watu wote kama alivyozoea kumdharau mke wake. Wako wapi wazee mbalimbali na viongozi wa dini ambao kipindi cha kikwete walikuwa wakitoka wazi na kukemea? Hii dharau huyu mtu kaipata wapi na kwa nini awe na dharau kiasi hiki kama vile nchi haina wanaume wa kuhoji? Mimi siko tiyari kuvumilia dharau za kijinga hizi kule kwetu mara hasa kijijini kwetu KIRIBA hatukuzoea dharau za kijinga kama hizi zilizotokea Leo, hii Ni zaidi ya udikiteta. Sasa namuomba rais magufuli atangaze rasmi kuwa nchi sasa inaongozwa kibabe ili tunaoonekana kutokubaliana na upumbavu huo tujitokeze na wanaoonekana kupendezwa na upumbavu huo nao wajitokeze tutafutane mitaani basi.
Magufuli ni mwepesi sana nje ya kiburi cha kutoka vyombo vya dola, kiburi chote hicho anakipata kutoka vyombo vya dola na kitazid zaid ya hapo maana anahakika watamalinda kwa amri ya mkuu wa majeshi wa hitaji lake la kanda, hayo ni madogo tu subiri mengine makubwa yatakayo kushangaza zaid ya hayo ilimradi tiu uelekeo wako umesha anza kuonesha anako elekea,,ila amini nje ya support ya jeshi ni mwepesi hata wewe waweza kumfuata na kumwambia live face to face na asiwe na cha kukufanya wala kukujibu, lakin vyombo vya dola vinawajibu wa kuhakikisha mh.rais yuko salama mda wote
 
Wapendwa wanajamvi,
Nimevumilia na hàtimaye uzalendo umenishinda. Hakuna rais yeyote duniani ambaye alishawahi kuwa na kauli za dharau na maudhi kwa wananchi wake kama rais magufuli. Hata ukifuatilia rekodi za Marais ambao waliongoza kidikiteta katika nchi zao hawakuwa na kauli za kuudhi na za kipumbavu kama nilizosikia Leo kutoka kwa huyu rais. Amewadharau watu wote kama alivyozoea kumdharau mke wake. Wako wapi wazee mbalimbali na viongozi wa dini ambao kipindi cha kikwete walikuwa wakitoka wazi na kukemea? Hii dharau huyu mtu kaipata wapi na kwa nini awe na dharau kiasi hiki kama vile nchi haina wanaume wa kuhoji? Mimi siko tiyari kuvumilia dharau za kijinga hizi kule kwetu mara hasa kijijini kwetu KIRIBA hatukuzoea dharau za kijinga kama hizi zilizotokea Leo, hii Ni zaidi ya udikiteta. Sasa namuomba rais magufuli atangaze rasmi kuwa nchi sasa inaongozwa kibabe ili tunaoonekana kutokubaliana na upumbavu huo tujitokeze na wanaoonekana kupendezwa na upumbavu huo nao wajitokeze tutafutane mitaani basi.
USIPATE SHIDA ANDAENI TENA UKUTA HALAFU MFELI TENA MPAT
 
Niliwahi kusema humu jukwaani..kama tulisema serikali ya awamu ya nne iliharibu na kuboronga basi tusubiri na tuione awamu hii ya tano!

Waziri anasema hiki, rais kile, mkuu wa mkoa anasema lile..yani kila mtu anajisemea lake na wote wanahudumu serikali moja..

Hii ni hatua ya kushindwa kulikotukuka kitu ambacho najisikia vibaya sana kuona kikitokea.
tuvae magunia sasa kuiombea nchi yetu

baraka kwa Mungu
 
Huu uzi haufiki kesho... yaani umemtukana mtukufu asie na dhambi ohoo... mpenzi wa mungu
 
IMG-20170320-WA0006.jpg
 
tuvae magunia sasa kuiombea nchi yetu

baraka kwa Mungu
Nikaendelea kusema tena baada ya kuona ameshindwa kwa kiasi kikubwa atawaambia.. Mimi nilitaka kuwatoa katika umaskini wenu lakini nyie ni wavivu na mnapenda kulialia kwenye mitandao,nawaacha na umaskini wenu..
 
Back
Top Bottom