Mashabiki/Wanachama wa CDM kama Mazombie

Mashabiki/Wanachama wa CDM kama Mazombie

Nisaidieni mimi mjinga, kwanini tangu Lowassa ahamie CDM washabiki na wanachama wake wamekuwa kama maZombie? Hii ni kwa wale wanaotaka kunisaaidia tuu.


Msaada pekee tunaoweza kukupa ni kukutumia makamanda walioshiba waje wachukue nafasi ya mumeo unyooshwe ili hicho kimuhe muhe chakuona mazombie kitulie sawa dada??
 
Msaada pekee tunaoweza kukupa ni kukutumia makamanda walioshiba waje wachukue nafasi ya mumeo unyooshwe ili hicho kimuhe muhe chakuona mazombie kitulie sawa dada??
Asante. Na wewe ni zombie?
 
ndio maana ya kutengeneza die hard fans wanaenda na viongozi wao
 
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa vyama vingi TZ kura yangu itaenda kwa chama tawala.


Upinzani umenifanya nione kuwa hakuna haja ya kuwepo upinzani ...
Upinzani gani hauna jipya.
Upinzani gani hauna msimamo
Upinzani gani unakumbatia mafisadi na kujitahidi kuwasafisha,,,,,
Upinzani hovyo kabisa
 
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa vyama vingi TZ kura yangu itaenda kwa chama tawala.


Upinzani umenifanya nione kuwa hakuna haja ya kuwepo upinzani ...
Upinzani gani hauna jipya.
Upinzani gani hauna msimamo
Upinzani gani unakumbatia mafisadi na kujitahidi kuwasafisha,,,,,
Upinzani hovyo kabisa

Uko katika kundi la watu wengi wanaoona ukweli huu. Hongera kwa kukwepa kuwa zombie.
 
Ukila mihogo ya kuchemsha,mayai ya kuchemsha na soda ya pespi lazima utoe mishuzi muda wote
 
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa vyama vingi TZ kura yangu itaenda kwa chama tawala.


Upinzani umenifanya nione kuwa hakuna haja ya kuwepo upinzani ...
Upinzani gani hauna jipya.
Upinzani gani hauna msimamo
Upinzani gani unakumbatia mafisadi na kujitahidi kuwasafisha,,,,,
Upinzani hovyo kabisa

umehama lini CCM?
 
kwani huyo lowasa mbona inawauma sana kuhamia.chama kingine? mwacheni ukiona cha nn wanzako kwa ni kizuri tz kila mtu anahaki kuchagua chama anachokitaka
 
Nisaidieni mimi mjinga, kwanini tangu Lowassa ahamie CDM washabiki na wanachama wake wamekuwa kama maZombie? Hii ni kwa wale wanaotaka kunisaaidia tuu.

wewe ndiye zombi, mburula! Uliyebandika upumbavu Wako hapo, kibaka we, mtahangaika Sana ILA ndiyo mshapasuliwa mayai
 
daaaa kweli kunya anye kuku akinya bata_ _ _ .....zitto alipoenda act na kukaa wiki kupewa uongozi wa chama mliongea kweliiii Leo Hi mtu cku moja tu na anachukua tu anachukua fom na mnampa ugombea uraisi mnaona kawaida Sanaa...
 
Huyu jamaa Leo ni kuanzisha nyuzi bila mpangilio,vp Lumumba hawajaridhika na utendaji wako?
 
daaaa kweli kunya anye kuku akinya bata_ _ _ .....zitto alipoenda act na kukaa wiki kupewa uongozi wa chama mliongea kweliiii Leo Hi mtu cku moja tu na anachukua tu anachukua fom na mnampa ugombea uraisi mnaona kawaida Sanaa...

wametutia aibu sana hadi watanzania tunaonekana wehu. tusubilie campaign zianze sijui watamnadije hilo jizi nakumbuka mkapa alisema lipumba ni prof uchwara kweli limetimia hadi yy amekosa Sifa za kua rais Wa ukawa hadi wanachukua kapi kutoka CCM na Dr slaa akivyo ---- na yy anavumilia tuuu na kuhangaika kote huko au wamepewa % sio bule bana haaaaa
 
Back
Top Bottom