OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,779
Mwaka jana Vita walikula 4,Merrick 4 Platinumz 4, Kaizer 3. Wakasema ooh kuna Corona ๐๐๐๐Msimu gani mliwahi kukubali kuwa Simba ina timu nzuri?.
Mwaka jana Vita walikula 4,Merrick 4 Platinumz 4, Kaizer 3. Wakasema ooh kuna Corona ๐๐๐๐Msimu gani mliwahi kukubali kuwa Simba ina timu nzuri?.
Adui wa Mtanzania ni Mtanzania mwenzake!!Mwaka jana Vita walikula 4,Merrick 4 Platinumz 4, Kaizer 3. Wakasema ooh kuna Corona
utopolo hawatakuelewaNawauliza mashabiki wa mpira hapa kwetu Tanzania maana naona mashabiki na waandishi wengi kama wananung"unika baada ya simba kuifyatua galaxy kwa magoli 2-0.
Je, wangependa kusikia al ahly imeshapigwa ni ya kawaida kwa simba kaizer chiefs ni ya kawaida kwa simba,wydad ni ya kawaida, Nkana ni ya kawaida,pryamid kwa sare na azam ni ya kawaida kifupi galaxy ni bora na imefungwa na timu bora zaidi.
Kifupi simba kwa haya mashindano ya Africa kwa sasa nae ni kigogo yupo ndani ya kumi bora.
Swali la kumalizia ajifungishe ili mwakani wengine wakose mbeleko au waendelee ili watoe msada kwenye tuta?
Ni hayo tu!
acha roho ziwaume tu hakuna namnaGalaxy imewaangusha sana Uto/vidimbwi fc.
Poleni sana watani, swali wa msingi UNATESEKA UKIWA WAPI?
Na nyie mliomanuliwa nje ndani na Rivers United tuwaweke kundi gani? Luc alikuwa sahihi kuwaita nyie kima.Akuna anenung'unika isipokuwa wanaongelea uhalisia wa timu yenu ni mbovu msimu huu tunawachana live akuna kupepesa macho wala kutikisa masikio.
Kama mnachukia mchukie timu akuna pale nilidhani kuna mabadiliko ya kiuchezaji kumbe bado staili ni ile ile ya butua butua mipira mirefu kuwatafuta kina boko ndo mfumo pendwa kwa sasa.
Na kibaya zaidi mnaenyeka ata mnapocheza na vitimu vibovu Kama icho cha botswana, ngoja mda utaongea mkikutana na wanaume
YangaNawauliza mashabiki wa mpira hapa kwetu Tanzania maana naona mashabiki na waandishi wengi kama wananung"unika baada ya simba kuifyatua galaxy kwa magoli 2-0.
Je, wangependa kusikia al ahly imeshapigwa ni ya kawaida kwa simba kaizer chiefs ni ya kawaida kwa simba,wydad ni ya kawaida, Nkana ni ya kawaida,pryamid kwa sare na azam ni ya kawaida kifupi galaxy ni bora na imefungwa na timu bora zaidi.
Kifupi simba kwa haya mashindano ya Africa kwa sasa nae ni kigogo yupo ndani ya kumi bora.
Swali la kumalizia ajifungishe ili mwakani wengine wakose mbeleko au waendelee ili watoe msada kwenye tuta?
Ni hayo tu!
Potelea mbali hawamuelewi msola kiongozi wao itakuwa mie mpita njia mkuu!
YangaNawauliza mashabiki wa mpira hapa kwetu Tanzania maana naona mashabiki na waandishi wengi kama wananung"unika baada ya simba kuifyatua galaxy kwa magoli 2-0.
Je, wangependa kusikia al ahly imeshapigwa ni ya kawaida kwa simba kaizer chiefs ni ya kawaida kwa simba,wydad ni ya kawaida, Nkana ni ya kawaida,pryamid kwa sare na azam ni ya kawaida kifupi galaxy ni bora na imefungwa na timu bora zaidi.
Kifupi simba kwa haya mashindano ya Africa kwa sasa nae ni kigogo yupo ndani ya kumi bora.
Swali la kumalizia ajifungishe ili mwakani wengine wakose mbeleko au waendelee ili watoe msada kwenye tuta?
Ni hayo tu!
umeshinda ugenini ukicheza na team gani? hebu tuache kubisha ili muda ndo utupe majibu sahihiUme drop kwasababu zipi?!!..Umeshinda ugenini?!!..unasema umdrop au maana ya kudrop ni kushinda?
mbona unanilisha maneno mkuu, sijasema pasi ndo kiwango bt mpira tunaocheza sasa hauna mipango ya kutafuta magoal kama awali, unadhani bila yale magoal ya kubatisha tungeshinda?Unadhani viwango vya Mpira ni kwasababu Una piga sana pasi na umefungwa au kuwa na magari na wachezaji wazuri lakini mnafungwa au kushinda?!!..
Kubahatisha tena!!!..mbona unanilisha maneno mkuu, sijasema pasi ndo kiwango bt mpira tunaocheza sasa hauna mipango ya kutafuta magoal kama awali, unadhani bila yale magoal ya kubatisha tungeshinda?
Tufanye walikua Chamaziumeshinda ugenini ukicheza na team gani? hebu tuache kubisha ili muda ndo utupe majibu sahihi
Tumecheza mechi nnewanachokisema ni sahihi kwa tulipokua tumefikia msimu jana, ukweli tumerudi nyuma hatua nyingi kabla ya kufika tulipopataka, ukiondoa yale magoli ya bahati nasibu hakuna cha ziada tulichokifanya jana na mechi ya marudiano ndo itakupa picha ya nisemacho.
Wewebn una Avatar ya namba 456 halafu unajiita namba 1?Tumecheza mechi nne
Dhidi ya Yanga, hii mechi ilikuwa derby
Dhidi ya Biashara, away kwenye pich kama ile ulitarajia mpira mzuri?
Dhidi ya Dodoma, away tena kwenye pich kama ile ulitarajia mpira mzuri
Dhidi ya Galaxy, away kwenye knock out stage misimu iliyopita tulifungwa na Nkana tuka fungwa na Platinum
Niambie tume drop vipi?
tuupe nafasi muda utupe majibu maana tutabishana bure mpaka basiTumecheza mechi nne
Dhidi ya Yanga, hii mechi ilikuwa derby
Dhidi ya Biashara, away kwenye pich kama ile ulitarajia mpira mzuri?
Dhidi ya Dodoma, away tena kwenye pich kama ile ulitarajia mpira mzuri
Dhidi ya Galaxy, away kwenye knock out stage misimu iliyopita tulifungwa na Nkana tuka fungwa na Platinum
Niambie tume drop vipi?
Kwann was inge shinda na wakati Wame shinda??mbona unanilisha maneno mkuu, sijasema pasi ndo kiwango bt mpira tunaocheza sasa hauna mipango ya kutafuta magoal kama awali, unadhani bila yale magoal ya kubatisha tungeshinda?
Wewe ulivyosema tumedrop uliwapa mda ganituupe nafasi muda utupe majibu maana tutabishana bure mpaka basi
Mkuu, hao jamaa nadhani imeshakuwa desturi yao, kila mwaka lazima kuwe na sababu ambazo wanalazimisha zionekane zina hold water!Mwaka jana Vita walikula 4,Merrick 4 Platinumz 4, Kaizer 3. Wakasema ooh kuna Corona ๐๐๐๐