Kaizer kwa Mkapa atakufa goli kuanzia nne,najua hautaamini lakini sisi wenye Simba yetu mipango na uwezo huo tunao.Weka pesa acha porojo.
Mikia kufuzu ana alama 10.
Taifa nani kamkimbia mwenzie?. Huyu paka ndio kakimbia. Hakuja uwanjani kabisaaa.... Walikuwa na hofu wataumizwa wapuuzi hawa,na bado hawajaumizwa wamebugizwa 4-GUmkimbie Simba taifa halafu uje kushangilia kazi usiyoiweza!
Tukutane Julai 3, tena wachezaji wako wameanza kukimbia kambini, wengine wanajiandaa kurudi Burundi. Sijui hiyo Julai utakuwa umebaki na naniTaifa nani kamkimbia mwenzie?. Huyu paka ndio kakimbia. Hakuja uwanjani kabisaaa.... Walikuwa na hofu wataumizwa wapuuzi hawa,na bado hawajaumizwa wamebugizwa 4-G
Hiyo itakuwa ni mechi ya kirafiki tu. Kwa hiyo haina umuhimu sana.Mechi ya ligi ilishakata siku ile mliyokimbiaTukutane Julai 3, tena wachezaji wako wameanza kukimbia kambini, wengine wanajiandaa kurudi Burundi. Sijui hiyo Julai utakuwa umebaki na nani
Hakuna mechi ya kirafiki inayoingiza point kwenye msimamo wa ligi. Mechi lazima ichezwe!Hiyo itakuwa ni mechi ya kirafiki tu. Kwa hiyo haina umuhimu sana.Mechi ya ligi ilishakata siku ile mliyokimbia
Kwa nini iwe ya kirafiki wakati timu zinazocheza zitakuwa zinagombania kuwa mabingwa?Hiyo itakuwa ni mechi ya kirafiki tu. Kwa hiyo haina umuhimu sana.Mechi ya ligi ilishakata siku ile mliyokimbia
Utakufa bure na mikia yako.Kaizer kwa Mkapa atakufa goli kuanzia nne,najua hautaamini lakini sisi wenye Simba yetu mipango na uwezo huo tunao.
Kamati ya ufundi ilianza kazi kabla timu haijarejea hapa nyumbani,na kwa kazi nzuri iliyofanyika ushindi upo na Simba itafuzu kwenda nusu fainali.sikulazimisha kuamini.
Simba nguvu moja.
Hata wewe utakufa tu ni swala la muda tu.Utakufa bure na mikia yako.
Pole utaisoma namba.Hata wewe utakufa tu ni swala la muda tu.
Kwema 😂Binamu Chumchang Changchum hivi uzima upo kweli huko ulipotowekea? 🤣🤣🤣🤣
Kwema 😂
Namba nishaisoma tayari Simba anamichezo 25 na points 61.Pole utaisoma namba.
Hahahaha..Pole zake, ndio mpira mtani..Mwana kurifindView attachment 1788510
Hii nini????????