ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,386
- 5,230
Hawa mashabiki mbumbumbu ndo wanashinda hapa jukwaani kulaumu wachezaji, coaches, na viongozi kwamba hawafai. Hawa mashabiki ndio walimwita Ntibazokiza mzee, mhujumu team, leo wanashangilia!
Hawa mashabiki ndio walishinikiza uongozi umfukuze Chama kuwa hana kiwango. Hawa mashabiki ndio walishinikiza uongozi uwaache Kapombe na Tshabalala ati ni wazee. Hawa mashabiki ndo walisema kipa Lakred ni garasa. Hawa mashabiki walizomea Mwenyekiti leo wanashangilia mipango yao ya kuleta ushindi.
Hawa mashabiki siku hizi wanawaandama wachezaji wapya Fred na Jobe eti hawana viwango kesho ndo wakifunga watashangilia na kujisahau.
Mbona sisi Wananchi (Yanga) ni mashabiki kweli wa mpira hata mchezaji asipo perform hatuletei usumbufu
Kuna kipindi Aziz ki alikuwa hafanyi vizuri tulimpa utulivu saiv anakiwasha
Mbumbumbu mjifunze kuwa mashabiki wa mpira kweli
Litimu lenu lishauzwa kwa Kanjibai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa mashabiki ndio walishinikiza uongozi umfukuze Chama kuwa hana kiwango. Hawa mashabiki ndio walishinikiza uongozi uwaache Kapombe na Tshabalala ati ni wazee. Hawa mashabiki ndo walisema kipa Lakred ni garasa. Hawa mashabiki walizomea Mwenyekiti leo wanashangilia mipango yao ya kuleta ushindi.
Hawa mashabiki siku hizi wanawaandama wachezaji wapya Fred na Jobe eti hawana viwango kesho ndo wakifunga watashangilia na kujisahau.
Mbona sisi Wananchi (Yanga) ni mashabiki kweli wa mpira hata mchezaji asipo perform hatuletei usumbufu
Kuna kipindi Aziz ki alikuwa hafanyi vizuri tulimpa utulivu saiv anakiwasha
Mbumbumbu mjifunze kuwa mashabiki wa mpira kweli
Litimu lenu lishauzwa kwa Kanjibai.
Sent using Jamii Forums mobile app