Mkuu umenena kweli wengi wanabeba mabox na kusafisha vibibi vizee vya kizungu huko ughaibuni na wanamsongo wa mawazo ile mbaya hivyo huja hapa JF kupunguza mihemuko yao. Ngoja ifike saa sita za EA watakuwa wengi wameamka muda huo uone mapovu ya OMO yatakapo mwagwa hapa!!GTs,
Umofia kwenu. Asubuhi njema kabisa ndiyo najiandaa kwenda job.
Nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua wanaompatia kichwa cha kutukana serikali mh. Lissu hawapo Tanzania, wengi ni wabeba box huko nchi za ng’ambo. Tena ukitaka kuwafahamu vizuri hebu waambie juu ya sheria na taratibu za nchi yetu, yaani hawajui kitu.
Ukitaka pia kuhakikisha tizama jinsi ambavyo wanamuacha mwenyekiti wao wa kikundi cha upinzani Mh Mbowe akisota jela bila hata kusema lolote, na hii ni kwa sababu ni rahisi kumsemea waliyenaye ughaibuni kuliko mswahili mbowe aliye segerea.
Je hawa mashabiki wa Mh Lissu wanaijua Tanzania au wanahisia tu? Tujadili wadau
Kweli kabisa, wana muda maalumu. Ngoja niwa CC BAK, Mwanahabari Huru, Salary Slip, Mmawia ila huyu Mshana Jr yeye kwa sababu anajua uganga anaweza kuwa anakuja bongo kwa njia zake na kurudi kubeba boxMkuu umenena kweli wengi wanabeba mabox na kusafisha vibibi vizee vya kizungu huko ughaibuni na wanamsongo wa mawazo ile mbaya hivyo huja hapa JF kupunguza mihemuko yao. Ngoja ifike saa sita za EA watakuwa wengi wameamka muda huo uone mapovu ya OMO yatakapo mwagwa hapa!!
EBBO!! Rudi tena kwa aliekutuma,itakuwa umechanganya namna ya kufikisha hii habari.GTs,
Umofia kwenu. Asubuhi njema kabisa ndiyo najiandaa kwenda job.
Nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua wanaompatia kichwa cha kutukana serikali mh. Lissu hawapo Tanzania, wengi ni wabeba box huko nchi za ng’ambo. Tena ukitaka kuwafahamu vizuri hebu waambie juu ya sheria na taratibu za nchi yetu, yaani hawajui kitu.
Ukitaka pia kuhakikisha tizama jinsi ambavyo wanamuacha mwenyekiti wao wa kikundi cha upinzani Mh Mbowe akisota jela bila hata kusema lolote, na hii ni kwa sababu ni rahisi kumsemea waliyenaye ughaibuni kuliko mswahili mbowe aliye segerea.
Je hawa mashabiki wa Mh Lissu wanaijua Tanzania au wanahisia tu? Tujadili wadau
Siyo utafiti huu..ni mihemko yako tuGTs,
Umofia kwenu. Asubuhi njema kabisa ndiyo najiandaa kwenda job.
Nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua wanaompatia kichwa cha kutukana serikali mh. Lissu hawapo Tanzania, wengi ni wabeba box huko nchi za ng’ambo. Tena ukitaka kuwafahamu vizuri hebu waambie juu ya sheria na taratibu za nchi yetu, yaani hawajui kitu.
Ukitaka pia kuhakikisha tizama jinsi ambavyo wanamuacha mwenyekiti wao wa kikundi cha upinzani Mh Mbowe akisota jela bila hata kusema lolote, na hii ni kwa sababu ni rahisi kumsemea waliyenaye ughaibuni kuliko mswahili mbowe aliye segerea.
Je hawa mashabiki wa Mh Lissu wanaijua Tanzania au wanahisia tu? Tujadili wadau
Hahahah, acha uongo. Hakuna mtanzania anayempenda lisu mdanganyeni nyie wabeba box. Itakuwa kama Mbow alidhani akiwekwa ndani watu wata riot, ila mpaka sasa nchi ipo shwari kabiaaMbona Kuna watanzania wengi Sana tu wanampenda Tundu Lisu
Utafiti wako sio sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa akutajie suoermarket iliyopo kamata kwa sasa kwani watanzania wote wanaishi Dar es salaam?Nitajia supermarket iliyopo kamata kwa sasa. Ukiweza hilo jibu nitajua wewe siyo mbeba box. Pia nitajie Morogoro ni mkoa au wilaya?
kwani bora kipi,wabeba box wanaosimama naye kwny shida au ninyi msio wabeba box ambao mlitaka kumuua???GTs,
Umofia kwenu. Asubuhi njema kabisa ndiyo najiandaa kwenda job.
Nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua wanaompatia kichwa cha kutukana serikali mh. Lissu hawapo Tanzania, wengi ni wabeba box huko nchi za ng’ambo. Tena ukitaka kuwafahamu vizuri hebu waambie juu ya sheria na taratibu za nchi yetu, yaani hawajui kitu.
Ukitaka pia kuhakikisha tizama jinsi ambavyo wanamuacha mwenyekiti wao wa kikundi cha upinzani Mh Mbowe akisota jela bila hata kusema lolote, na hii ni kwa sababu ni rahisi kumsemea waliyenaye ughaibuni kuliko mswahili mbowe aliye segerea.
Je hawa mashabiki wa Mh Lissu wanaijua Tanzania au wanahisia tu? Tujadili wadau
Yaani lisu yupo kwenye wheel chair mnahaha hivi,atakaponyanyuka kabisa nahisi mtazimia kabisaHahahah, acha uongo. Hakuna mtanzania anayempenda lisu mdanganyeni nyie wabeba box. Itakuwa kama Mbow alidhani akiwekwa ndani watu wata riot, ila mpaka sasa nchi ipo shwari kabiaa
Siku zote ukishaingia mwezini inakuwa tabu tupu hapa jf.GTs,
Umofia kwenu. Asubuhi njema kabisa ndiyo najiandaa kwenda job.
Nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua wanaompatia kichwa cha kutukana serikali mh. Lissu hawapo Tanzania, wengi ni wabeba box huko nchi za ng’ambo. Tena ukitaka kuwafahamu vizuri hebu waambie juu ya sheria na taratibu za nchi yetu, yaani hawajui kitu.
Ukitaka pia kuhakikisha tizama jinsi ambavyo wanamuacha mwenyekiti wao wa kikundi cha upinzani Mh Mbowe akisota jela bila hata kusema lolote, na hii ni kwa sababu ni rahisi kumsemea waliyenaye ughaibuni kuliko mswahili mbowe aliye segerea.
Je hawa mashabiki wa Mh Lissu wanaijua Tanzania au wanahisia tu? Tujadili wadau
GTs,
Umofia kwenu. Asubuhi njema kabisa ndiyo najiandaa kwenda job.
Nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua wanaompatia kichwa cha kutukana serikali mh. Lissu hawapo Tanzania, wengi ni wabeba box huko nchi za ng’ambo. Tena ukitaka kuwafahamu vizuri hebu waambie juu ya sheria na taratibu za nchi yetu, yaani hawajui kitu.
Ukitaka pia kuhakikisha tizama jinsi ambavyo wanamuacha mwenyekiti wao wa kikundi cha upinzani Mh Mbowe akisota jela bila hata kusema lolote, na hii ni kwa sababu ni rahisi kumsemea waliyenaye ughaibuni kuliko mswahili mbowe aliye segerea.
Je hawa mashabiki wa Mh Lissu wanaijua Tanzania au wanahisia tu? Tujadili wadau
huu hata sio mhemko,ni ushamba wa kijinga, kama kuna jitu linajiita jingalao basi hili jitu tuliite pumbavulao
Hakuna anaye hahaha, nyie box people ndiyo mnahaha, mbona siye tunakula bata tu chini ya utawala wa Dr MagufuliYaani lisu yupo kwenye wheel chair mnahaha hivi,atakaponyanyuka kabisa nahisi mtazimia kabisa
Huyu lisu anawawasha midomoni mwenu,mmelala mmeamka mnawaza Leo mumsemee nini
Sent using Jamii Forums mobile app