mashabiki wa asernal wanadeka sana, hadi aibu..

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890

Shabiki wa timu ya Arsenal, akibugujikwa na machozi baada ya timu yake hiyo kupokea kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa timu changa Wales Swansea.
mia
 
Masikini hadi namhurumia! Sasa ingeshinda angepata faida gani? Kwanza hakuna hata mchezaji mmoja anaemjua huyo jamaa! Angekuwa anaililia manyema kidogo ningemuunga mguu!!!!!!
 
huyu atakuwa amelipwa kuililia arse8 mana wale mashabiki wakongwe wameshazoea kufungwa na hawalii tena.
 
Ni kweli kabisa washika bunduki kwa kudeka!!!! a5e71d5881ad4b7542620bfe5c5c7037.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom