Mashabiki tuwasapoti wachezaji wetu pamoja na viongozi na benchi la ufundi pamoja na matokeo ya leo

changaule

JF-Expert Member
Jan 10, 2020
5,718
9,430
Binafsi nimeridhishwa sana na aina ya mpira unaocheza timu ya Yanga, controll ya mpira+ utulivu na kasi. Nimeona timu ikianza kufanya build up kwanzia nyuma na wanafika hadi mwisho. Mpira unachezwa haswa naiona Yanga ikiwa ni timu pamoja na kuondoka kwa Nabi, lakini soka linalotandazwa ni zaidi ya ile Yanga iliyoachwa na Nabi. Tukiweza kutatua changamoto moja tu ya finishing basi hakuna wa kuizuia Yanga kutetea kombe la ligi kuu na Azam Federation.

Mashabiki wenzangu poleni lakini tutoe sapoti kwa wachezaji na benchi la ufundi tusimame pamoja tuna timu bora
 
Binafsi nimeridhishwa sana na aina ya mpira unaocheza timu ya Yanga, controll ya mpira+ utulivu na kasi. Nimeona timu ikianza kufanya build up kwanzia nyuma na wanafika hadi mwisho. Mpira unachezwa haswa naiona Yanga ikiwa ni timu pamoja na kuondoka kwa Nabi. Tukiweza kutatua changamoto moja tu ya finishing basi hakuna wa kuizuia Yanga kutetea kombe la ligi kuu na Azam Federation.

Mashabiki wenzangu poleni lakini tutoe sapoti kwa wachezaji na benchi la ufundi tusimame pamoja tuna timu bora
Mna timu nzuri ila mna safu butu ya ushambuliaji, mzimu wa Mayele utawaandama sana. Ongeeni vizuri na sisi tuwape hata Boko.
 
Tuanze kwa kuwapa sapoti mashabiki kwanza

Hawa tusiwasahau maana ndio wanaopitia msoto wa presha kuliko hata wachezaji.

Mi niliwaambia chakula cha jioni wale mapema wapo walionielewa na wapo walionipuuza.

Kesho ufanisi wa kazi maofisini unategemea kushuka kutokana na watu kuwa na mambo mengi kichwani.

By the way tunashukuru kwa ushindani mliotupa ila siku zote mpira unamuheshimu fundi hata ukosee vipi lazima tu matokeo ya mwisho lazima yawe mazuri upande wako.
 
Yanga hamna wapigaji mkuu.

Ila hata kabla ya zile 90 kuisha tungefungwa bado kosi tumeliona.
Binafsi nimeridhika nalo aisee.

Pale mbele yule dogo mzize ndoa inampeleka puta hamna kazi anafanya.

Kosi tunalo aisee, wameshinda ila wanaogopa, pale timu hamna.
 
Uzuri mashabiki na wanachama wa hyo timu unayoisema ni waelewa sana hata wanapopoteza game sio warahisi kuanza kupiga makelele mitandaoni, kulaumu viongozi wala kuwashambulia wachezaji wao

Cc
Tate Mkuu
Bantu Lady
Tumeyapokea matokeo japo kishingo upande, tumeacha inyeshe tujue panapovuja.
Kwenye ligi, tutakuwa na msimu mzuri tu.
 
Tuanze kwa kuwapa sapoti mashabiki kwanza

Hawa tusiwasahau maana ndio wanaopitia msoto wa presha kuliko hata wachezaji.

Mi niliwaambia chakula cha jioni wale mapema wapo walionielewa na wapo walionipuuza.

Kesho ufanisi wa kazi maofisini unategemea kushuka kutokana na watu kuwa na mambo mengi kichwani.

By the way tunashukuru kwa ushindani mliotupa ila siku zote mpira unamuheshimu fundi hata ukosee vipi lazima tu matokeo ya mwisho lazima yawe mazuri upande wako.
Hakuna shabiki wa Yanga aliyeangalia mpira leo akasononeka. Kwenye mpira kuna matokeo halafu kuna performance. Yanga hawakubebwa na matokeo ila performance imekuwa juu mno. Unatazama mpira una enjoy mpira unaochezeka.
 
Mna timu nzuri ila mna safu butu ya ushambuliaji, mzimu wa Mayele utawaandama sana. Ongeeni vizuri na sisi tuwape hata Boko.
Sisi tuna tatizo moja tu la umaliziaji?:vipi timu yako mliyokuwa mnajisifia kuwa mmeiba namba sita lakini leo kaja na kafichwa na Mkude, vipi mna matatizo yapi? Game mbili goal 0 halafu mmekuwa timu ya kupelekewa moto haswa muda wote roho juu, vipi nyie mmekamilika?
 
Wale wachezaji waliopiga penati na kukosa ni wapumbavu, haiwezekani wote wapige upande mmoja na kimo kilekile.

Waambiwe tu ukweli wamezingua sana.
Mkuu sisi tupo nje ya uwanja lakini ukiwa ndani ya uwanja unakuwa na fikra nyingi sana. Huenda mchezaji akaenda akiwa na lengo la kubadilisha upande lakini nafsi yake ikasita ikamwambia hapana piga upande huo maana saivi lazima ataruka upande mwingine kwasababu wachezaji wameshamsoma.
 
Hakuna shabiki wa Yanga aliyeangalia mpira leo akasononeka. Kwenye mpira kuna matokeo halafu kuna performance. Yanga hawakubebwa na matokeo ila performance imekuwa juu mno. Unatazama mpira una enjoy mpira unaochezeka.
Performance ilikiwa kubwa lakini wameshindwa kutumia nafasi hiyo kufunga mabao.

Hoyo ndio sehemu ambayo inamlazimu shabiki wa Yanga asononeke.

Kucheza vizuri zaidi ya mpinzani halafu ukashindwa kunufaika na ubora wako inakuwa haina tofauti na mwanaume mwenye maumbile makubwa halafu hasimamishi.
 
Binafsi nimeridhika mno mno na Yanga ni timu Kali haswa mpira umetembea hakuna Mtu ambae hakuona! Mpira umeisha dkk 90 sikuhangaika na penati! Tumewakosa penati ila mwanaSimba yeyote aliengalia mpira moyoni mwake amejua hawatuwezi!

Simba hawakuonekana kabisa muda wote wanakimbia kimbia tu kama vichaa na kuhangaika kukaba tu hawana fomesheni wala possession , kila mchezaji anacheza kivyake kutafuta afunge goli asifiwe ila ukuta wa Yanga ni zaidi ya ule wa Berlin!

Yanga tuliwazidi kila idara, Simba ulimi nje dkk 90 zote mashabiki wao roho mkononi bahati tu haikuwa upande wetu Leo, kosa kosa kibao washambuliaji papara nyingi! Warudi watazame Tena mechi wajiweke sawa! hapa ndio utajua nguvu ya uchawi kwenye derby , kibonde wahed kuchukua kombe!

Mechi ya Leo imeonesha Yanga ni timu Kali na inabeba Tena NBC premier league msimu wa 3 mfululizo , hakuna mpinzani.
 
Back
Top Bottom