mr kipengele
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 206
- 607
Habari za muda huu.
Bila kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye mada , mashabiki wa bongo ni tatizo sana. Jana mnyama kapiga mtu saba kwa moja shangwe limetapakaa kila mahali ,kila mtu anasema Simba ni timu bora makocha wanajua kupanga kikosi.Lakini kesho au kesho kutwa Simba au Yanga zikipigwa magoli ya kufa mtu utasikia hatumkati matola mara Nabi ni kocha wa mchongo lakin akiwapa matokeo huwa mnasahau mapungu ya timu zenu kabisa.
Kuna swala la umri wa wachezaji limezungumzwa hasa kwa upande wa Simba ambao inaonekana ndio kikosi chenye wazee wengi kuliko Yanga lakin baada ya ushindi huu hakuna mwanasimba yeyote aliye laumu uzee wa wachezaji ngoja makundi yaanze kuna matusi ya kila aina hawa wachezaji watatukanwa na hata makocha wataonekana wametoka vichochoroni
Ukija kwa upande wa Yanga nao ni majanga sana timu inacheza kawaida sana lakin mashabiki zake wanavyo vimba mtaani utazani kunakikosi cha maana ,Yanga akifungwa mara moja tu utasikia Kaze hamna kitu Hersi anazingua
Mashabiki hamubebeki kabisa .
Bila kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye mada , mashabiki wa bongo ni tatizo sana. Jana mnyama kapiga mtu saba kwa moja shangwe limetapakaa kila mahali ,kila mtu anasema Simba ni timu bora makocha wanajua kupanga kikosi.Lakini kesho au kesho kutwa Simba au Yanga zikipigwa magoli ya kufa mtu utasikia hatumkati matola mara Nabi ni kocha wa mchongo lakin akiwapa matokeo huwa mnasahau mapungu ya timu zenu kabisa.
Kuna swala la umri wa wachezaji limezungumzwa hasa kwa upande wa Simba ambao inaonekana ndio kikosi chenye wazee wengi kuliko Yanga lakin baada ya ushindi huu hakuna mwanasimba yeyote aliye laumu uzee wa wachezaji ngoja makundi yaanze kuna matusi ya kila aina hawa wachezaji watatukanwa na hata makocha wataonekana wametoka vichochoroni
Ukija kwa upande wa Yanga nao ni majanga sana timu inacheza kawaida sana lakin mashabiki zake wanavyo vimba mtaani utazani kunakikosi cha maana ,Yanga akifungwa mara moja tu utasikia Kaze hamna kitu Hersi anazingua
Mashabiki hamubebeki kabisa .