Masanja atua EFM

Waumini wao ni wabishi hao. Huwaambii kitu kuhusu hao "madady" wao.
 
Nimemuona kwenye kipindi cha magazeti akitangaza.

Bado zile elements za uchawa hazijamtoka.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umenikumbusha kipindi Cha kampeni alikuwa anaenda kulala kwenye madaraja kumsifia jiwe
 
Waumini wao ni wabishi hao. Huwaambii kitu kuhusu hao "madady" wao.
Dola itoe maelekezo tu. Kwanini kwenye mambo mengine inatoa maelekezo. Kwanini huku ishindwe? Kuna matatizo mengine tunazalisha kwa makusudi tu.
 
Hata hivyo majizo ashazoea mapigo. Kipindi kile walisepa
1. Kitenge
2. Mwanaidi Suleman
3. Yusufu Mkule
4. akafuata Musa Mwakisu.
Halafu yanawashinda wanarudi Tena efm so ni wameombwa tu waende Kwa muda watarudi hakuna sehemu wanalipwa vizuri kama hapo walipohama na wanapewa ufree sana ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…