Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,989
- 3,692
Utakuwa upara full kuanzia utosini Hadi unyayoni.Kuna mmoja alitaka kuniuzia dawa ya kuzuia ndevu zisiote lkn cha ajabu aliniambia hii unaweka kwenye maji unaoga ndevu zote hazotaota ....nikashtuka nikauliza vipi nyele za kichwani na sehemu zingine akasema itakwisha ote .!...!.nilitoka mduki
Aaah Aaah. Hizo "sehemu zingine" mimi uwa naogopa hata kuzigusisha na magic shaving powder. Yaani eti "nywele" zinapukutika zenyewe tu ndani ya povu!Kuna mmoja alitaka kuniuzia dawa ya kuzuia ndevu zisiote lkn cha ajabu aliniambia hii unaweka kwenye maji unaoga ndevu zote hazotaota ....nikashtuka nikauliza vipi nyele za kichwani na sehemu zingine akasema itakwisha ote .!...!.nilitoka mduki
Hahahahaaaaaa. Mkuu ulitaka zisiote za wapi?Kuna mmoja alitaka kuniuzia dawa ya kuzuia ndevu zisiote lkn cha ajabu aliniambia hii unaweka kwenye maji unaoga ndevu zote hazotaota ....nikashtuka nikauliza vipi nyele za kichwani na sehemu zingine akasema itakwisha ote .!...!.nilitoka mduki
Utakuwa upara full kuanzia utosini Hadi unyayoni.
mkuu uo uchunguzi umeufanyia wapi juu ya mizizi yenye sumu...? nani alikufa baada kunywa dawa za kimasai...? ukipata muda rudi kijijini ukakae na mababu wakufunze...kwa uelewa wangu mdogo akuna watu wenye miti yenye dawa zenye nguvu kama WAMASAIMjini shule, kua uyaone.
Hii imetokea sikukuu ya Idd nilikua nakatiza mitaa fulani amaizing nilikuwa nimetinga pamba kali nashine hatare.Huku nimevalia kiatu matata nilichonunua china kupitia apps ya KIKUU.Basi ukijumlisha na ile chain ya gold sikushangaa kuitwa majina matamu hapa jijini.
Nirudi kwenye mada wakati nakaribia kuingia Serena Hotel nikasikia sauti vipi? Sikugeuka nikasikia tena Assalam allekum! Basi nikageuka bila ya kuitika salam! Nakutana uso kwa uso na Masai akaniambia 'fipi rafiki' unataka dawa? Nikamjibu hapana kwa kutikisa kichwa. Akauliza tena hutaki dawa za 'ngufu sa kiume'? Nikatabasamu nikamjibu hapana?
Kabisa sikubaliani na njia hii ya hawa jamaa ya kufanya biashara za dawa kwa kuhoji wapita njia?Kuna wengine hupita nyumba hadi nyumba na kushawishi vijana kuhusu dawa za kuongeza nguvu hii pia haijakaa poa?
Kidogo niliona soo kuulizwa kama nataka dawa za 'kuongesa ngufu' Nashukuru mrembo niliekuwa naye kiswahili hakipandi vizuri iyo ndio ilikua ahueni kwangu.
Niwaase ndugu zangu hizi dawa za wamasai sio nzuri za kutumia kiholela kwani wanachanganya mizizi yenye sumu kali hivyo kuweza kuharibu ini pia kuhatarisha uwiano wa viungo vya mtumiaji.Wauza dawa kama hawa hawatoi huduma. Wanasaka Pesa.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuna mmoja alitaka kuniuzia dawa ya kuzuia ndevu zisiote lkn cha ajabu aliniambia hii unaweka kwenye maji unaoga ndevu zote hazotaota ....nikashtuka nikauliza vipi nyele za kichwani na sehemu zingine akasema itakwisha ote .!...!.nilitoka mduki
Dumb nigga
...Makonda alisema tuwa-unfollow.,kikwetu hapa JF anaingia kwenye Ignore List na stori zake za kishamba!
Na hapo hapo ndipo alipoinajisi story yakeUjana bwana! Sasa hizo chain, cjui pamba simeingia vip kwenye mada hii? Au lengo c dawa ya kimasai kuna promo ingine?