Kibwagizo
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 130
- 8
Nimekuwa nikitumia Apple iPhone 3g kwa muda sasa.sasa nimehitaji kuweka application ya Jf na nyimginezo inagoma ikisema os ni yazamani yaani ni 4.1 na inatakiwa niwe na version zaidi ya hiyo( new version).
1.Masada wenu Kama kuna njia ya kuweka old apps Au
ku-update ios( njia iliyo salama)
2.ni matatizo yapi yanaweza kunikumba katika njia mobili hizo?
Natanguliza shukrani katika mawazo yenu
By
Kibwagizo using JamiiForum
1.Masada wenu Kama kuna njia ya kuweka old apps Au
ku-update ios( njia iliyo salama)
2.ni matatizo yapi yanaweza kunikumba katika njia mobili hizo?
Natanguliza shukrani katika mawazo yenu
By
Kibwagizo using JamiiForum