Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 8,573
- 14,175
Wakuu nisaidieni kuelewa kuhusu hili
Kuna emergency hela inatakiwa haraka sana,
Natuma Halo Pesa kiusahihi kabisa bila kukosea halafu hela haifiki ilikotumwa na kwenye acc hela imetoka
Unapiga simu customer care wanakwambia hela ipo hewani haijafika unatakiwa eti usubiri masaa 72 ndio hela itarudishwa kwenye acc yako
Najiuliza sana kwanini niadhibiwe kwa makosa sio yangu?
Au ndio kusema hii issue kiteknolijia ni ngumu sana hadi ihitaji masaa 72?...... yaani siku 3
Kwamba hakuna namna ni lazima masaa 72
Yaani hapa nilipo jasho linanitoka kwa hasira kidogo nimtukane customer care
Mi nashida zangu halafu unakaa na hela yangu masaa 72?........Shubamit
Nahii ni kwa mitandao yote yani imesha nitokea kwa tigo na voda pia
Kuna emergency hela inatakiwa haraka sana,
Natuma Halo Pesa kiusahihi kabisa bila kukosea halafu hela haifiki ilikotumwa na kwenye acc hela imetoka
Unapiga simu customer care wanakwambia hela ipo hewani haijafika unatakiwa eti usubiri masaa 72 ndio hela itarudishwa kwenye acc yako
Najiuliza sana kwanini niadhibiwe kwa makosa sio yangu?
Au ndio kusema hii issue kiteknolijia ni ngumu sana hadi ihitaji masaa 72?...... yaani siku 3
Kwamba hakuna namna ni lazima masaa 72
Yaani hapa nilipo jasho linanitoka kwa hasira kidogo nimtukane customer care
Mi nashida zangu halafu unakaa na hela yangu masaa 72?........Shubamit
Nahii ni kwa mitandao yote yani imesha nitokea kwa tigo na voda pia