PreGE2025 Mary Chatanda: UWT haitavumilia vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wagombea, hususan kwa Rais Samia, tutachukua hatua

PreGE2025 Mary Chatanda: UWT haitavumilia vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wagombea, hususan kwa Rais Samia, tutachukua hatua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha Mapinduzi Tanzania UWT, Mary Chatanda ameweka msisitizo kuhusu ukatili wa kijinsia hasa kwa viongozi ambapo amesema UWT itawalinda wagombea wake dhidi ya ukatili huo hususani Rais Samia

Hata hivyo amewataka wananchi nchini kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya ccm na serikali kwa ujumla




 
Back
Top Bottom