Mark x inauzwa

Mark x inauzwa

Ndio. Ila sio mjini kwenu Dar kwenye foleni ambako consumption inakua kubwa. Cc zisikutishe. Engine za saaa ni efficient sana.
umeongea ukwel kbsa Mkuu.ukikanyaga road hiyo speed 60 mpaka 120 Mafuta inatumia kiwango kidogo tu.
 
Ukweli kusema hii gari kali Sana tena bei yake reasonable sema kibiashara lazima mtu aombe discount. Atakaechukua hii gari atafaidi Sana.
 
litre 1 inaenda km 6, ww unaesema mark X litre 1 inaenda km 12 ushtakiwe kwa uchochezi
anaye endeshea sehemu kama dar foleni foleni na anayochanja nayo mbuga speed 60 mpaka 120 wote watatembea lita moja km 6?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom