"MARINI HASAN MARINI" wa TBC amesahaulika ukuu wa wilaya?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Kwa anavyoongea kwenye tuongee asubui, mijala anavyoipamba selikali. Anasifu kila kitu na asiyeweza kukosoa lolote kuhusu selikali. Na mkosoaji mkubwa wa upinzani.

Mtu aliyesaidia wajinga wengi kuzidi kuipenda Kipindi cha JAMBO TANZANIA na Welevu wote kuhamia BARAGUMU ya CHANEL TEN.

Huyu mtu nahuhakika akitema mate lazima ni ya NJANO. Ukimkata damu lazima itakuwa ya KIJANI. Vipi asahaulike? Da pole malini.
 
si unajua huyu jamaa anavyoteua asubuhi na jioni,bado kuna wabunge 3 wamebakia huwezi jua huenda Mariiiiiini Hasani Mariiiiiini akawa ndani.tuvute subira
 
jamani watu wanalia kukosa ukuu wa wilaya,,,, wangekosa ubunge ingekuaje...kwa nini mtu atake kua mkuu wa wilaya leo hii zaidi ya PESA....sioni...
 
Huyu Marini na kusafiri kote kule na JK nje ya nchi - Amesahaulika!. Namshauri asivunjike moyo, labda atakumbukwa kwenye ukuu wa mkoa. Yeye na swahiba wake Efreymu Kibonde.
 
kuanzia sasa nawadharau wakuu woote wa wilaya! Kumbe ni wafadhila?.
 
tulimkosakosa kichapo jangwani kampeni za 2010,amshukuru mbowe na policcm
 

asubui = asubuhi

selikali = serikali

Marini = Marin

nahuhakika = nna-uhakika

Welevu = werevu

malini = Marin
 

Mkuu William, Mmewasiliana na Marin kujua kama aliahidiwa au alikuwa anautaka huo ukuu wa

wilaya akatoswa? Au pengine waandishe
 

Atapata, nadhani JK kapitiwa, jitu linajikomba kama nini, kama vile jike linalotafuta mwanamume. Tunajikomba lakni limezidi tena hadharani bila aibu
 

Atapewa kazi ingine we subiri
 
mie nahisi rais jk na washauri wake si wajinga ni watu makini wanajuwa wanacho kifanya wametumia vigezo ambavo sisi si waelewa hebu tuweni na subra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…