Salam wanaJF,
Kuna hii hospitali ya Maria Stopes maeneo ya Mwenge kama ni mwanamke ukifika una matatizo ya tumbo unaambiwa kapime mkojo then majibu mimba hata kama haipo.
Nilimpeleka mdogo wangu wa kike kufika kaambiwa ana mimba na daktari akamuambia mdogo wangu kama yupo tayari tumpe kazi.
Hakika nilishtuka tukaamua kwenda AAR victoria wakakuta hana mimba sikuridhika tukaenda Agha khan akawa hana mimba, mmh ninajiuliza hapa hivi MARIE STOPES kimekuwa kijwe cha madaktari wahuni?
Kuna hii hospitali ya Maria Stopes maeneo ya Mwenge kama ni mwanamke ukifika una matatizo ya tumbo unaambiwa kapime mkojo then majibu mimba hata kama haipo.
Nilimpeleka mdogo wangu wa kike kufika kaambiwa ana mimba na daktari akamuambia mdogo wangu kama yupo tayari tumpe kazi.
Hakika nilishtuka tukaamua kwenda AAR victoria wakakuta hana mimba sikuridhika tukaenda Agha khan akawa hana mimba, mmh ninajiuliza hapa hivi MARIE STOPES kimekuwa kijwe cha madaktari wahuni?