Marekani yarudi Afghanstan

Marekani yarudi Afghanstan

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
72,949
Reaction score
102,723
Habari ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa Marekani imerudi nchini Afghanstan kwenye kambi ya Baghram baada ya kufanya makubaliano na Taliban. Hayo yameonekana baada ya Marekani kuwaachilia na kuwaondoa katika list ya magaidi sehemu ya viongozi wa Taliban.

Pia imeonekana hivyo baada ya ndege kadhaa za Marekani kuanza kutua na vifaa vya kijeshi.

Ikumbukwe pia Afghan ni rahisi katika vita dhidi ya Iran na China
 
Habari ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa Marekani imerudi nchini Afghanstan kwenye kambi ya Baghram baada ya kufanya makubaliano na Taliban. Hayo yameonekana baada ya Marekani kuwaachilia na kuwaondoa katika list ya magaidi sehemu ya viongozi wa Taliban.

Pia imeonekana hivyo baada ya ndege kadhaa za Marekani kuanza kutua na vifaa vya kijeshi.

Ikumbukwe pia Afghan ni rahisi katika vita dhidi ya Iran na China
Usa ndo anaamua nani awe gaid nani asiwe gaidi
 
Sera ya American hiyo. "Hakuna adui wa kudumu, hakuna rafiki wa kwenye kudumu.


Hata mimi naitumiaga kwenye mishe zangu.
 
Back
Top Bottom