Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,336
Soma uzi, alafu jibu swali langu mashia mkitaka kujilipua huwa mnapungiana mikono?Sijakuelewa.
.
Maana hizi ni tabia za kishia
Soma uzi, alafu jibu swali langu mashia mkitaka kujilipua huwa mnapungiana mikono?Sijakuelewa.
It's funny now not so much then when you're a victim of any form of stigmatizationCrew labda ilidhani Jamaa wanapeana salamu za mwishomwisho kabla ya kuiaga dunia na kukutana huko kwingine ambapo wanaamini kuna virgins wa kutosha. Acha hiyo investigation ifanyike
Nafikiri ume-over react. ... sijaona sehemu ametukana dini yoyote ile.nadhani wkati unadrop hii comment haukuwa sawa, mybe ulikuwa stressed with somthing, drop ur comment bila kutusi dini ya mtu mwingine inawezekana pia!!
Hahaha hata mimi lazima ninge omba rubani ashushe ndegeUnakuta mtu sura ngumu mdomo huuoni umefichwa na midevu hujui kama amechukia au lah sasa hapo lazima uhisi kua jamaa anataka ajitoe mhanga walichokifanya nikuchukua tahadhali mapema
Nimeamua ku-Subscribe hapa vita inakuja sio muda mrefu umekuja siko
Mimi sio SHIA mzee.Soma uzi, alafu jibu swali langu mashia mkitaka kujilipua huwa mnapungiana mikono?
.
Maana hizi ni tabia za kishia
POAID yako na ulicho kiandika ni sifuri acha ujinga
Anzisha uzi
Fanya tafiti kwa ulichokiandika
Racism iko kwa kiwango cha juu sana kwenye mataifa ya uarabuni kuliko us
Ulisikiliza njia panda ya wiki iliyopita mkuu ya bi Zawadi Ramadhan alivyokuwa anawasema waarabu?