Hoax hoaxesTrump akaona ipo haja ya kujifunza kwann Uganda hakuna vifo alipoamua kupiga cm Mseven hakupokea cm..
No research, no right to speak.Kinachofanyika Madagascar ni kama kilichokuwa kinafanywa na kimkombe cha yule babu.
Wanaua watu bure.
Naskia alituma adi tafadhali nipigie mwamba museven akakaushaTrump kampgia sim m7
Kakataa kupokea
stidy
Kama alikuwa washroom àu ibadani angeokea vipi!Eti Trump ampigie simu Museven asipoker.... ingekua World news. Kila chombo cha habari kingeripoti
Sent using Jamii Forums mobile app
na sio jp morgan ni edison aliyekua mwanzilishi wa GE
Ulipoanza tu habari ya Mzee Trump kumpigia simu Mseveni basi nami nika conclude kuwa wewe ni bogus!Baada ya Madagascar kutangaza dawa inayotibu corona "organic covid " tayari Marekani na WHO wameionya Madagascar kuachana na dawa hiyo na kama haitokuw hivyo watasitisha misaada inayoenda Madagascar kwaajili ya kupambana na corona.
Mpaka sasa visa vya corona nchini Madagascar vimeripotiwa kufika 121,huku kukiwa HAKUNA KIFO hata kimoja kinachotoana na corona.Flashback three days ago Mseven alisema Mungu anamambo mengi hawezi iangalia Uganda pekeyake wakati huo bunge likajipitishia bajeti ya wao kujilipa milioni 400 kila mmoja ili kupunguza Makasi ya corona,Trump akaona ipo haja ya kujifunza kwann Uganda hakuna vifo alipoamua kupiga cm Mseven hakupokea cm..
Katoa ulimwengu wa sasa ambayo Marekan anaripoti hadi vifo elf 3 kwasiku kwann asiunge jitihada za Rais wa Madagascar baada ya yet kutangaza kuwa dawa ipo? Kwann hawajataka hata kuifanyia majaribio na wakai modify zaidi kama hofu nikuwa ni dawa ya mitishamba? Badala yake wanaipa onyo na vitisho,kwann wogope dawa ya Madagascar ambayo imeshatibu watu 2 huku 120 wakiwa salama bila kuwepo kwa kifo hata kimoja?
Africa huu ni muda wa kuamka na kufaham vipaumbele vyetu kama bara,kama watoto wa Africa na kama wana wa Africa.Nilitegemea ktik taharuki hii Marekan au China wangeichukua kwa majaribio lakin wao wameikataa lakin wao wao wanalazimisha Chanjo kwa waafrika.
Mind you kuwa jana Rais wetu John Pombe Magufuli alipendekwza njia ya asili kwa mtanzania njia ya kujifunika njia hii ni njia ya asili inayojimuisha mimea yetu ya asili ambayo wao wakichukua ndo wanatengeneza panaldo.Tujiamini Afrika,tunaweza
#Tanzania #Tanzania Tumeshinda.
Pia soma >Madagascar wapata dawa ya asili ya Corona ..source BBC swahili - JamiiForums
Hata Trump mwenyewe ali tweet hilo jambo kwamba M7 hakupokea simu yake.Eti Trump ampigie simu Museven asipoker.... ingekua World news. Kila chombo cha habari kingeripoti
Sent using Jamii Forums mobile app
Tembelea tweets za Trump, utaikuta hiyo; sijui kama alikua analalamika au anatoa report. Msibishe kila kitu, kwenye hu ugonjwa mataifa haya makubwa nayo yanapiga magotiUlipoanza tu habari ya Mzee Trump kumpigia simu Mseveni basi nami nika conclude kuwa wewe ni bogus!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha midharau mkuu!!!Kinachofanyika Madagascar ni kama kilichokuwa kinafanywa na kikombe cha yule babu.
Wanaua watu bure.