Marekani: Kaka na Dada wameshinda shauri la mahakama kuhusu kufunga ndoa

Status
Not open for further replies.
Huyo jaji mjinga Sana Biblia Sio kitabu Cha Sheria mahakamani sababu mahakama haina dini na bunge na serikali havina dini amechukuaje Ushahidi wa kiblia na kuufanya wa kimahakama kuamua kesi? Eti Adamu na Ecva Stupid judge shame on you and American Courts
 
Tunaelekea mwisho wa dunia sasa kuku na mayai vinaanzwa kuliwa bila hofu
 
Sio kidogo ila watu weupe hawa bado kdogo utaskia wataoa na mama zaoNmeshindwa kuelewa kabisa
Kwani haukusikia ya Zimbabwe single mother kuoana na mwanae, mama alidai alimpenda sana mwanae na hakuwa tayari kuona mwanamke mwingine akimfaidi.
Alivaa shela kabisa kwenye 'wedding ceremony' na kijana akapiga suti nyeusi ya kitanashati.
 
Kiukweli atae mimi nimewahi mla dada yangu mtoto wa baba mkubwa... Wakati nipo primary na yeye alikua kamaliza... Mi nakumbuka ila sijui kama naye anakumbuka.... Hapo mzee na mshua kaenda kanisani... Nilimla kidogo na yeye ndio alitaka..
 
Msingi wa sheria ni makatazo, unaweza kuamua kuyakataa. Kuna watu kwa fikra zao wasipopenda au kutaka kitu, hukitungia sheria ili na wengine wasikifanye.
Sheria siyo lazima ziwe sawa kwa kila kitu.
Kama upendi kunywa maziwa, usikataze kila mtu kunywa maziwa, acha wewe.
Kuna watu hutengeneza normalcy/ukawaida wao uwe kwa wote. Kama hataki kitu anatafuta negatives tupu, kisha hukataza wote. Mazuri asiyoyataka huyafanya yaonekane ni uovu.
Standard zinatengenezwa na watu, hivyo naona kila mtu ni vyema ajitengenezee standard zake.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hata katika jamii zetu watu wanakulana sana hasa kaka na dada kwa hiyo sishangai
 
Du baada ya moto wa Sodoma na Gomorrah ikaja gharika ya mvua enzi za Nuhu.

Sijui Sir God atatutumia nini this time.
Ataleta yale madudu tunaonaga kwenye movie yaje yatunyuke hadi tuishe na tushime adabu
 
Ila ukweli ni kuwa familia nyingi hata hapa kwetu bongo ambazo wazazi wapo busy sana! kaka na dada huwa katika mausiano wakiwa wadogo na wengine bila aibu huendelea hata ukubwani kwa siri!
Ndiyo mana huwa nashangaa sana mzazi anaye wanchanganya watoto wenye zaidi ya miaka saba wa jinsia tofauti chumba kimoja et double deca!
True.... Kuna familia ipo pale Moshi ipo hivyo hivyo......

Ndugu wa familia ya baba na mama m'moja wanagegedana....... Tena bila hiyana.....

Na kuna mtu na binamu yake wanatafunana humo kwenye hiyo familia....... Na upande wa wajomba kuna ndugu wawili wanakulana.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom