Marefa wa NBCPL jifunzeni kupitia wenzenu CAF, hakika itapunguza lawama kwa Wadau wa Soka

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,288
12,789
Tazama penati ama madhambi aliyosababisha beki joash onyango ndani ya penati box, marefa wa CAF hawajang'ata filimbi Bali walifanya kazi zao kiweledi zaidi pasipo kuogopa presha za wachezaji.

Hii ingekua kwa marefa wetu wa NBCPL, hapo hakuna penati Tena na kadi ya njano juu dhidi ya mchezaji atakayelalamika sana kuomba penati.

Mfano mdogo, ni Yale madhambi aliyomfanyiwa kipre jr na shomari kapombe ndani ya penati box, ni dhahiri kabisa ile ni penati lakini refa alimeza filimbi nakujifanya hakuona kabisa.

Tazama mchezo wa simba dhidi ya ihefu kwenye michuano ya FA, refa kutoa kadi kwa ihefu anatoa haraka bila mazungumzo yoyote lakini madhambi hayo hayo wakifanya simba refa anatoa kadi huku akiwa ameishika mkononi anatumia hata dakika moja kwanza anahubiri sana na ndipo anatoa kadi.

Mtazame refa aliyechezesha mchezo wa yanga vs geita kwenye michuano ya kombe la FA, aucho kachezewa lady ndani ya penati box lakini refa kameza filimbi, tazama kadi ya Clement mzinze sijui refa anatafsuri vipi makosa.

Hii inarudisha nyuma maendeleo ya mpira wetu na marefa kubaki kuchezesha mpira ndani ya nchi pasipo kuitwa kwenye mechi za CAF.
 
Nimeangalia mechi nyingi za Caf msimu huu, hata yale tunaita makosa ya kibinadamu sijayaona.
 
Refa aliyechezesha gemu ya simba vs ihefu anatoa kadi mfukoni halafu anaanza kumuhubiria kwanza mchezaji wa simba badala yakumpa kadi
 
Hakika marefa wengine wa nbc premier league au azam Fa hawana hadhi ya kusimamia Hata Mechi ikichezwa uwanja wa msasani magunia
 
Nimeangalia mechi nyingi za Caf msimu huu, hata yale tunaita makosa ya kibinadamu sijayaona.
Kaangalie game ya Yanga v Mazembe kipa wa Mazembe alimtemea mpira Farid Mussa kizembe Sana, Yale ndo makosa ya kibinadamu, kaangalie game ya Al hilal v Mamelod kipa wa mamelod karudishiwa mpira akafanya uzembe kabisa hilal wakachomoa..fatilia mpira acha ushabiki, makosa ya kibinadamu kila sehemu yapo
 
Kaangalie game ya Yanga v Mazembe kipa wa Mazembe alimtemea mpira Farid Mussa kizembe Sana, Yale ndo makosa ya kibinadamu, kaangalie game ya Al hilal v Mamelod kipa wa mamelod karudishiwa mpira akafanya uzembe kabisa hilal wakachomoa..fatilia mpira acha ushabiki, makosa ya kibinadamu kila sehemu yapo
Mzee tunaongelea marefa siyo wachezaji tulia Tena Soma upya
 
Tazama penati ama madhambi aliyosababisha beki joash onyango ndani ya penati box, marefa wa CAF hawajang'ata filimbi Bali walifanya kazi zao kiweledi zaidi pasipo kuogopa presha za wachezaji.

Hii ingekua kwa marefa wetu wa NBCPL, hapo hakuna penati Tena na kadi ya njano juu dhidi ya mchezaji atakayelalamika sana kuomba penati.

Mfano mdogo, ni Yale madhambi aliyomfanyiwa kipre jr na shomari kapombe ndani ya penati box, ni dhahiri kabisa ile ni penati lakini refa alimeza filimbi nakujifanya hakuona kabisa.

Tazama mchezo wa simba dhidi ya ihefu kwenye michuano ya FA, refa kutoa kadi kwa ihefu anatoa haraka bila mazungumzo yoyote lakini madhambi hayo hayo wakifanya simba refa anatoa kadi huku akiwa ameishika mkononi anatumia hata dakika moja kwanza anahubiri sana na ndipo anatoa kadi.

Mtazame refa aliyechezesha mchezo wa yanga vs geita kwenye michuano ya kombe la FA, aucho kachezewa lady ndani ya penati box lakini refa kameza filimbi, tazama kadi ya Clement mzinze sijui refa anatafsuri vipi makosa.

Hii inarudisha nyuma maendeleo ya mpira wetu na marefa kubaki kuchezesha mpira ndani ya nchi pasipo kuitwa kwenye mechi za CAF.
Ulikuwa na hoja nzuri Sana lakini tatizo la mashabiki wa nchi hii ni uhuni mnaoita unazi. Hatuwezi kukuelewa kama unaleta mada zenye mlengo wa upande mmoja tu utadhani Hakuna timu nyingine imewahi kufanya madhambi refa akawa bubu. Kuna Yanga Vs Namungo mwaka Jana, Geita Vs Yanga mwaka Jana Kirumba, Dodoma Jiji Vs Azam, Coast union Vs Yanga, Mbeya city Vs Mbeya Kwanza nk.
Kuhusu hoja zako ni sahihi, hasa kuhusu refa wa Mechi ya Yanga Vs Geita. Nimemuona ni Mechi ya 4 Sasa mpaka nikauliza, Kwa nini Eli Sasii alifungiwa halafu mbadala wake ni mbovu kiasi hiki? Refa anayeamini kutoa Kadi hata pasipostahili ndo kucontrol Mechi? Kwangu Kadi ya pili ya njano Kwa mchezaji wa Geita ilikuwa nyepesi Sana, Aucho alistahili kupewa penati yake, Mzize afutiwe Kadi ya njano na Bodi maana Hakuna hata chembe ya foul pale. Jenesia Lukyaa baada ya kurejea kiwango chake ni kama cha Morrison uwanjani. Alichozidisha ni ukali usio na tija.
 
Ulikuwa na hoja nzuri Sana lakini tatizo la mashabiki wa nchi hii ni uhuni mnaoita unazi. Hatuwezi kukuelewa kama unaleta mada zenye mlengo wa upande mmoja tu utadhani Hakuna timu nyingine imewahi kufanya madhambi refa akawa bubu. Kuna Yanga Vs Namungo mwaka Jana, Geita Vs Yanga mwaka Jana Kirumba, Dodoma Jiji Vs Azam, Coast union Vs Yanga, Mbeya city Vs Mbeya Kwanza nk.
Kuhusu hoja zako ni sahihi, hasa kuhusu refa wa Mechi ya Yanga Vs Geita. Nimemuona ni Mechi ya 4 Sasa mpaka nikauliza, Kwa nini Eli Sasii alifungiwa halafu mbadala wake ni mbovu kiasi hiki? Refa anayeamini kutoa Kadi hata pasipostahili ndo kucontrol Mechi? Kwangu Kadi ya pili ya njano Kwa mchezaji wa Geita ilikuwa nyepesi Sana, Aucho alistahili kupewa penati yake, Mzize afutiwe Kadi ya njano na Bodi maana Hakuna hata chembe ya foul pale. Jenesia Lukyaa baada ya kurejea kiwango chake ni kama cha Morrison uwanjani. Alichozidisha ni ukali usio na tija.
Asante kwa kukazia Mimi hayo matukio niliyasahau Ila kwa kuwa umenikumbusha nashukuru.
 
Kaangalie game ya Yanga v Mazembe kipa wa Mazembe alimtemea mpira Farid Mussa kizembe Sana, Yale ndo makosa ya kibinadamu, kaangalie game ya Al hilal v Mamelod kipa wa mamelod karudishiwa mpira akafanya uzembe kabisa hilal wakachomoa..fatilia mpira acha ushabiki, makosa ya kibinadamu kila sehemu yapo
Our topic is about Referees Sir
 
Kaangalie game ya Yanga v Mazembe kipa wa Mazembe alimtemea mpira Farid Mussa kizembe Sana, Yale ndo makosa ya kibinadamu, kaangalie game ya Al hilal v Mamelod kipa wa mamelod karudishiwa mpira akafanya uzembe kabisa hilal wakachomoa..fatilia mpira acha ushabiki, makosa ya kibinadamu kila sehemu yapo
Hapa wanazumgumzia maamuzi yanayofanywa na marefa sasa wewe unaongea mambo mengine.




Tukikuita CHIZ.I tutakuwa tumekosea?
 
Tazama penati ama madhambi aliyosababisha beki joash onyango ndani ya penati box, marefa wa CAF hawajang'ata filimbi Bali walifanya kazi zao kiweledi zaidi pasipo kuogopa presha za wachezaji.

Hii ingekua kwa marefa wetu wa NBCPL, hapo hakuna penati Tena na kadi ya njano juu dhidi ya mchezaji atakayelalamika sana kuomba penati.

Mfano mdogo, ni Yale madhambi aliyomfanyiwa kipre jr na shomari kapombe ndani ya penati box, ni dhahiri kabisa ile ni penati lakini refa alimeza filimbi nakujifanya hakuona kabisa.

Tazama mchezo wa simba dhidi ya ihefu kwenye michuano ya FA, refa kutoa kadi kwa ihefu anatoa haraka bila mazungumzo yoyote lakini madhambi hayo hayo wakifanya simba refa anatoa kadi huku akiwa ameishika mkononi anatumia hata dakika moja kwanza anahubiri sana na ndipo anatoa kadi.

Mtazame refa aliyechezesha mchezo wa yanga vs geita kwenye michuano ya kombe la FA, aucho kachezewa lady ndani ya penati box lakini refa kameza filimbi, tazama kadi ya Clement mzinze sijui refa anatafsuri vipi makosa.

Hii inarudisha nyuma maendeleo ya mpira wetu na marefa kubaki kuchezesha mpira ndani ya nchi pasipo kuitwa kwenye mechi za CAF.
Tatizo ni TFF wanaweka marefa wenye ujuzi mdogo kwa wacheza wenye weledi mkubwa na uzoefu wa kudanganya na kufanya makosa ya kiufundi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom