Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,842
Marais wa Tanzania wanaostaafu kuanzia kwa Mkapa hadi Kikwete wamempa na wanaendelea kumpa wakati mgumu sana Rais Magufuli, hii ni kwa sababu, kila eneo ambalo Rais Magufuli anagusa, hakosekani mmojawapo na hasa hasa JAKAYA KIKWETE, sijui alienda ikulu kufanya nini?
IPTL anatajwa sana JAKAYA KIKWETE na familia yake kupitia SIMBA TRUST, Makinikia anatajwa sana huyu mtu, huko Bandarini alitajwa sana huyu mtu, bado Kusafirisha wanyama hai nasikia huko napo anatajwa sana, sasa najiuliza, huko Ikulu alienda kufanya nini?
Kwa kweli wanampa wakati mgumu sana huyu Mh. JPM maana wakati mwingine wanaweza kuhisi kuwa JPM anawatafuta kumbe hakuna!
IPTL anatajwa sana JAKAYA KIKWETE na familia yake kupitia SIMBA TRUST, Makinikia anatajwa sana huyu mtu, huko Bandarini alitajwa sana huyu mtu, bado Kusafirisha wanyama hai nasikia huko napo anatajwa sana, sasa najiuliza, huko Ikulu alienda kufanya nini?
Kwa kweli wanampa wakati mgumu sana huyu Mh. JPM maana wakati mwingine wanaweza kuhisi kuwa JPM anawatafuta kumbe hakuna!