Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,439
- 6,690
Wakuu,
Tushazoea kuona nchi za Ulaya, Marekani ambao walikuwa ni partners wetu wa maendeleo kwa muda mrefu wakiwa wanajali kuhusu mazingira
Kuna projects nyingi sana ambazo zilianzishwa na nchi za Kimagharibi regarding mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi.
Lakini kutokana na yale yaliyotokea kwenye Uchaguzi it seems nchi za magharibi hazitaki ushirikiano na Samia sasa najiuliza hawa marafiki wa sasa Samia je wataweza kuwa makini na ishu za mazingira kama nchi za kimagharibi,
Hapa naongelea China, Dubai na nchi za kiarabu. Wataweza kweli kuleta initiatives za kimazingira?
Tushazoea kuona nchi za Ulaya, Marekani ambao walikuwa ni partners wetu wa maendeleo kwa muda mrefu wakiwa wanajali kuhusu mazingira
Kuna projects nyingi sana ambazo zilianzishwa na nchi za Kimagharibi regarding mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi.
Lakini kutokana na yale yaliyotokea kwenye Uchaguzi it seems nchi za magharibi hazitaki ushirikiano na Samia sasa najiuliza hawa marafiki wa sasa Samia je wataweza kuwa makini na ishu za mazingira kama nchi za kimagharibi,
Hapa naongelea China, Dubai na nchi za kiarabu. Wataweza kweli kuleta initiatives za kimazingira?