Marafiki ni watu wa ajabu sana

Marafiki ni watu wa ajabu sana

Satirical Yet Awesome

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2023
Posts
727
Reaction score
1,846
Nina rafiki yangu flani ivi ni mwanang kinoma, yaan ni wale marafiki since day one.

Mwezi wa tano May, kuna jambo alinifanyia nilichukia sana na sikutegemea kutoka kwake kwasababu ni mwanang sana bora hata ingekuwa amenifanyia mtu baki ila sio yeye. Sitalisema hapa kweny huu uzi ila ilikuwa ni issue ya uchoyo, jamaa alinifanyia uchoyo.

Mwezi uliopita June, jamaa yangu bhana akamtongoza mpenzi wangu, demu mwenyew ndo alikuja kuniambia jamaa yako kanitongoza na kaniambia kila kitu unachonifanyia, kumbe jamaa yangu alimwambia mpenzi wangu mi simpendi nina mademu wengi yeye namchezea tuu, mpenzi wangu alibisha ila jamaa akawataja wale mademu wengine na kumwonesha hadi picha zao hao michepuko yangu, mpenzi wangu wakati ananisimulia hayo alikuwa analia sana na mimi ofcourse nilijisikia vibaya na hasira zilinipanda sana, nikaamua siku nikikutana na jamaa yangu ama zake ama zangu, mmoja anaenda hospitali mwingine anaenda jela, potelea mbali na urafiki. Ila sikumwambia chochote nikabaki kimya.

Okay, so kuna majukumu flani nilipata ikabidi nisafiri kidogo mkoani ila huku Dar kuna mishe zangu nilimwachia mwanang mwingine ambaye hajui chochote kinachoendelea kuhusu mm na jamaa yangu, sasa kuna mchongo flani ukatiki ambao tulikuwa tunaufatilia wote, ila ilihitajika tutoe 3M na kutuma barua na documents na ilihitaji ufuatiliaji sana.
Huwez amini jamaa yangu akanifanyia kila kitu, alinitolea hadi hio 3M na kusimamia show nzima hadi tukapata wote, of course tulikuwa tunafatilia wote so jamaa alivoambia niko mkoa akafanya kila kitu yeye mwenyew.

Sasa hapa wazee nipo nachanganyikiwa, katoka kunifanyia mambo ya kis*nge kweli alaf anakuja kunisaidia jambo la muhimu sana ambalo sidhani kama kuna mtu angeweza kunisaidia ukiachana na yeye.

Bado nam-mind kunitongozea mpenzi wangu.

It's very frustrating.
 
Kuna sura ya kimalaika ambayo ime_mantain urafiki wenu. Kusaidiana na kuwa pamoja kama brothers.

Kuna sura ya pili ambayo ndio uhalisia wake. Yani akitaka lake na wewe ni kikwazo yupo tayari kukuharibia ili yake yaende.

Cha tatu yawezekana jamaa yako ndio wale wenye udhaifu, hata kama ni mke wa mtoto wake atapita nae ila hii ni tabia ya unafki.

Hivyo, Ishi na falsafa ya ukimjua mbwa, hawezi kukusumbua. Weka mipaka tu ya kuishi nae na kama uchungu umekuzidi temana nae. Ila uwe una uhakika kuwa huyo ni mwanamke ni future yako ili usije kupoteza pote
 
Nina rafiki yangu flani ivi ni mwanang kinoma, yaan ni wale marafiki since day one.

Mwezi wa tano May, kuna jambo alinifanyia nilichukia sana na sikutegemea kutoka kwake kwasababu ni mwanang sana bora hata ingekuwa amenifanyia mtu baki ila sio yeye. Sitalisema hapa kweny huu uzi ila ilikuwa ni issue ya uchoyo, jamaa alinifanyia uchoyo.

Mwezi uliopita June, jamaa yangu bhana akamtongoza mpenzi wangu, demu mwenyew ndo alikuja kuniambia jamaa yako kanitongoza na kaniambia kila kitu unachonifanyia, kumbe jamaa yangu alimwambia mpenzi wangu mi simpendi nina mademu wengi yeye namchezea tuu, mpenzi wangu alibisha ila jamaa akawataja wale mademu wengine na kumwonesha hadi picha zao hao michepuko yangu, mpenzi wangu wakati ananisimulia hayo alikuwa analia sana na mimi ofcourse nilijisikia vibaya na hasira zilinipanda sana, nikaamua siku nikikutana na jamaa yangu ama zake ama zangu, mmoja anaenda hospitali mwingine anaenda jela, potelea mbali na urafiki. Ila sikumwambia chochote nikabaki kimya.

Okay, so kuna majukumu flani nilipata ikabidi nisafiri kidogo mkoani ila huku Dar kuna mishe zangu nilimwachia mwanang mwingine ambaye hajui chochote kinachoendelea kuhusu mm na jamaa yangu, sasa kuna mchongo flani ukatiki ambao tulikuwa tunaufatilia wote, ila ilihitajika tutoe 3M na kutuma barua na documents na ilihitaji ufuatiliaji sana.
Huwez amini jamaa yangu akanifanyia kila kitu, alinitolea hadi hio 3M na kusimamia show nzima hadi tukapata wote, of course tulikuwa tunafatilia wote so jamaa alivoambia niko mkoa akafanya kila kitu yeye mwenyew.

Sasa hapa wazee nipo nachanganyikiwa, katoka kunifanyia mambo ya kis*nge kweli alaf anakuja kunisaidia jambo la muhimu sana ambalo sidhani kama kuna mtu angeweza kunisaidia ukiachana na yeye.

Bado nam-mind kunitongozea mpenzi wangu.

It's very frustrating.
Acha ujamaa kama unataka kuendelea kifedha. Kuwa Capitalist. less or no friends.
 
Kuna sura ya kimalaika ambayo ime_mantain urafiki wenu. Kusaidiana na kuwa pamoja kama brothers.

Kuna sura ya pili ambayo ndio uhalisia wake. Yani akitaka lake na wewe ni kikwazo yupo tayari kukuharibia ili yake yaende.

Cha tatu yawezekana jamaa yako ndio wale wenye udhaifu, hata kama ni mke wa mtoto wake atapita nae ila hii ni tabia ya unafki.

Hivyo, Ishi na falsafa ya ukimjua mbwa, hawezi kukusumbua. Weka mipaka tu ya kuishi nae na kama uchungu umekuzidi temana nae. Ila uwe una uhakika kuwa huyo ni mwanamke ni future yako ili usije kupoteza pote
Ni kweli mshkaji ana tamaa sana na wanawake ila sijawahi kudhani atatamani hadi mwanamke wangu
 
Nina rafiki yangu flani ivi ni mwanang kinoma, yaan ni wale marafiki since day one.

Mwezi wa tano May, kuna jambo alinifanyia nilichukia sana na sikutegemea kutoka kwake kwasababu ni mwanang sana bora hata ingekuwa amenifanyia mtu baki ila sio yeye. Sitalisema hapa kweny huu uzi ila ilikuwa ni issue ya uchoyo, jamaa alinifanyia uchoyo.

Mwezi uliopita June, jamaa yangu bhana akamtongoza mpenzi wangu, demu mwenyew ndo alikuja kuniambia jamaa yako kanitongoza na kaniambia kila kitu unachonifanyia, kumbe jamaa yangu alimwambia mpenzi wangu mi simpendi nina mademu wengi yeye namchezea tuu, mpenzi wangu alibisha ila jamaa akawataja wale mademu wengine na kumwonesha hadi picha zao hao michepuko yangu, mpenzi wangu wakati ananisimulia hayo alikuwa analia sana na mimi ofcourse nilijisikia vibaya na hasira zilinipanda sana, nikaamua siku nikikutana na jamaa yangu ama zake ama zangu, mmoja anaenda hospitali mwingine anaenda jela, potelea mbali na urafiki. Ila sikumwambia chochote nikabaki kimya.

Okay, so kuna majukumu flani nilipata ikabidi nisafiri kidogo mkoani ila huku Dar kuna mishe zangu nilimwachia mwanang mwingine ambaye hajui chochote kinachoendelea kuhusu mm na jamaa yangu, sasa kuna mchongo flani ukatiki ambao tulikuwa tunaufatilia wote, ila ilihitajika tutoe 3M na kutuma barua na documents na ilihitaji ufuatiliaji sana.
Huwez amini jamaa yangu akanifanyia kila kitu, alinitolea hadi hio 3M na kusimamia show nzima hadi tukapata wote, of course tulikuwa tunafatilia wote so jamaa alivoambia niko mkoa akafanya kila kitu yeye mwenyew.

Sasa hapa wazee nipo nachanganyikiwa, katoka kunifanyia mambo ya kis*nge kweli alaf anakuja kunisaidia jambo la muhimu sana ambalo sidhani kama kuna mtu angeweza kunisaidia ukiachana na yeye.

Bado nam-mind kunitongozea mpenzi wangu.

It's very frustrating.
Mjanja hagombani kwa sababu ya demu.
 
Back
Top Bottom