Sifurahi uwepo wa janga hilo la UKIMWI, binafsi.
Ila kwa mtazamo wangu, hilo janga ni hekima za mungu, kutuwekea mipaka kwa matendo tunayofanya, tutafakari, tujichunge, tujikinge na tujiepushe. Na kama tukiji rekebisha na kujiwekea mipaka ya matendo yetu litaisha na kutokomea hilo janga.
Bila hivo tungekua tunaishi kama wanyama.
Mungu hapendi tutesekeSifurahi uwepo wa janga hilo la UKIMWI, binafsi.
Ila kwa mtazamo wangu, hilo janga ni hekima za mungu, kutuwekea mipaka kwa matendo tunayofanya, tutafakari, tujichunge, tujikinge na tujiepushe. Na kama tukiji rekebisha na kujiwekea mipaka ya matendo yetu litaisha na kutokomea hilo janga.
Bila hivo tungekua tunaishi kama wanyama.
Kapimeni kwanzaBinafsi ntafurahi sana. Sitakuwa nagopa ogopa maana hapa nilipo kuna vitu vizuri hatari ila sasa ndo hivyo.
Kwani ulaya ukimwi hamnaUkimwi sio mipango ya Mungu ndugu...!!kuh na vingi vmejificha kweny vyanzo vya magonjwa mengi ynayozkumba nchi za afrika
BalaaaaaaaaaMara paaaaap unaamka asubuh meno yako yote ya Mbele yamegeuka dhahabu!!