Mara Paap, UKIMWI hamna...

Mara Paap, UKIMWI hamna...

Boeing

Senior Member
Joined
Apr 16, 2017
Posts
151
Reaction score
422
Binafsi ntafurahi sana. Sitakuwa nagopa ogopa maana hapa nilipo kuna vitu vizuri hatari ila sasa ndo hivyo.
 
Sifurahi uwepo wa janga hilo la UKIMWI, binafsi.

Ila kwa mtazamo wangu, hilo janga ni hekima za mungu, kutuwekea mipaka kwa matendo tunayofanya, tutafakari, tujichunge, tujikinge na tujiepushe. Na kama tukiji rekebisha na kujiwekea mipaka ya matendo yetu litaisha na kutokomea hilo janga.

Bila hivo tungekua tunaishi kama wanyama.
 
Ukimwi sio mipango ya Mungu ndugu...!!kuh na vingi vmejificha kweny vyanzo vya magonjwa mengi ynayozkumba nchi za afrika
Sifurahi uwepo wa janga hilo la UKIMWI, binafsi.

Ila kwa mtazamo wangu, hilo janga ni hekima za mungu, kutuwekea mipaka kwa matendo tunayofanya, tutafakari, tujichunge, tujikinge na tujiepushe. Na kama tukiji rekebisha na kujiwekea mipaka ya matendo yetu litaisha na kutokomea hilo janga.

Bila hivo tungekua tunaishi kama wanyama.
 
Sifurahi uwepo wa janga hilo la UKIMWI, binafsi.

Ila kwa mtazamo wangu, hilo janga ni hekima za mungu, kutuwekea mipaka kwa matendo tunayofanya, tutafakari, tujichunge, tujikinge na tujiepushe. Na kama tukiji rekebisha na kujiwekea mipaka ya matendo yetu litaisha na kutokomea hilo janga.

Bila hivo tungekua tunaishi kama wanyama.
Mungu hapendi tuteseke
 
Watu watatombanaa sanaaaaaaa. Kutoa mimba kutazidi sanaaaaa.
Mods piga BAN uyo Paw Invisible
tapatalk_1530883534667.jpeg
 
Mara paaaaap unaamka asubuh meno yako yote ya Mbele yamegeuka dhahabu!!
 
Back
Top Bottom